Hakuna binti mgumu... real experience

Hakuna binti mgumu... real experience

What do you mean by saying "don't judge"?
Did i judge anyone?

Kuna swali la msingi hapa unaliruka either maksudi au bahati mbaya

Kwanini hujiulizi "Kama angekataa"?
Kufuatwa na mtu kukutaka kimapenzi sio ndio ukubali tu
Kila aliyekutongoza wewe tian umemkubalia?
Kama hapana,kwanini?
Acha kutetea mambo ya hovyo

Kila binadamu ana udhaifu wake
Lakini huo udhaifu sio tiketi ya kufanya mambo ya hovyo namna hii

Huenda hujasoma kisa cha huyo jamaa alivyomvua chup.i huyo dada mjing.a
Hebu soma halafu uje uniambie kama huyo dada alitumia hata nywele kufikiri achilia mbali ubongo

Who is mapadri dada?
Mapadri ni Allien au kitu gani hadi uwatolee mfano?
Hujui nao ni binadamu kama wengine?

This type of thinking is dangerious

Kwanini usiwe gheresha kama ni wa hovyo?

Ukishaitwa binadamu ni lazima ufuate kanuni
Hakuna binadamu aliye juu ya kanuni hata apewe jina gani na zuri kiasi gani

Kama hata hili hujui basi una khatari kubwa!

Huo Ndo Udhaifu Wenyewe.

Kama binadamu wote wa hii dunia wangefata kanuni basi,dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi
 
Last edited by a moderator:
Yes U Did Kwa Kusema Hao Walokole Ni Geresha Tuu
Huenda ukawa na matatizo usiyoyajua
Sijasema "hao walokole' jambo ambalo ningekuwa nimewajumlisha walokole wote ambao hata hawamjui huyo mang'aa na ujing.a wake

Mimi nilisema "Huo ulokole wake" term ambayo hai generalize
Au huji kuwa kuna tofauti hiyo?

Hebu jifunze kusoma kwa makini
In my Opinion that's Judging
Your opinion come from wrong type of thinking which led you to a wrong conclution

You need to learn how to read correctly and understand the context!
 
Huo Ndo Udhaifu Wenyewe.
"Huo" upi?
Kama binadamu wote wa hii dunia wangefata kanuni basi,dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi
Inaonekana hata hujaelewa ni kanuni gani ninazozizungumzia hapo

Hebu rudia huenda ukaelewa ninachozungumza hapa!
 
Sio Allien but thy shld live an Exemplary life,
Coz Mimi Kama Muumini I don't Expect Padri Awe Hivyo!!!

Nimeamua Kutumia Huo Mfano Wa Mapadri coz hata Wao ni Dhaifu na Hujikuta wameanguka dhambini
Wewe kusema huyo dada wa kilikole ni geresha ndo umechukulia kama yy ni extra-Ordinary Na Hawezi Anguka kwenye Uzinzi

Hapa kuna mabo mawili

1:Huna kabisa uwezo wa kusoma na ukaelewa

2:Husomi ninachokuandikia

Mapadri kuwa binadamu hiyo maana yake na wao wanapitia kanuni zote za maumbile kama binadamu mwingine yoyote yule hivyo wao sio wa kutolewa mfano ndio maana nikakupa mfano wa Alien

Kama wewe ni muumini na unatarajia binadamu mwingine ambae tu anaitwa padri awe mkamilifu kuliko wengine utakuwa na matatizo makubwa sana ya kufikiri

Unaendelea kurudia makosa yale yale ya mwanzo
Sijasema huyo dada wa kilokole ni geresha,nimesema huyo dada wa ulokole wake ni geresha
Au hujui kuwa hizo sentensi mbili zinaelezea mambo mawili tofauti?

Pia sijasema kuwa yeye ni mkamilifu ila yeye kuwa mlokole kunamaanisha amepitia kwenye utambuzi na yuko connected na nguvu kubwa sana kuliko binadamu ambayo inaweza kumsaidia pale atakapohitaji msaada wa hiyo nguvu kwenye mambo ambayo yanamzidi nguvu yeye kama binadamu

Pia pamoja na hilo sio kwamba hawezi kuanguka dhambini ila huko kuanguka sio kwa hovyo kama alivyofanya huyu

Ndio maana nikakuambia kuwa huo ulokole wake ni gheresha tu!
 
"Huo" upi?

Inaonekana hata hujaelewa ni kanuni gani ninazozizungumzia hapo

Hebu rudia huenda ukaelewa ninachozungumza hapa!

Eiyer Don Complicate things,
Kama unataka kunichallenge,Mie Najua ni Mgumu Kuelewa,

Tuishie Hapa!!!
 
Hapa kuna mabo mawili

1:Huna kabisa uwezo wa kusoma na ukaelewa

2:Husomi ninachokuandikia

Mapadri kuwa binadamu hiyo maana yake na wao wanapitia kanuni zote za maumbile kama binadamu mwingine yoyote yule hivyo wao sio wa kutolewa mfano ndio maana nikakupa mfano wa Alien

Kama wewe ni muumini na unatarajia binadamu mwingine ambae tu anaitwa padri awe mkamilifu kuliko wengine utakuwa na matatizo makubwa sana ya kufikiri

Unaendelea kurudia makosa yale yale ya mwanzo
Sijasema huyo dada wa kilokole ni geresha,nimesema huyo dada wa ulokole wake ni geresha
Au hujui kuwa hizo sentensi mbili zinaelezea mambo mawili tofauti?

Pia sijasema kuwa yeye ni mkamilifu ila yeye kuwa mlokole kunamaanisha amepitia kwenye utambuzi na yuko connected na nguvu kubwa sana kuliko binadamu ambayo inaweza kumsaidia pale atakapohitaji msaada wa hiyo nguvu kwenye mambo ambayo yanamzidi nguvu yeye kama binadamu

Pia pamoja na hilo sio kwamba hawezi kuanguka dhambini ila huko kuanguka sio kwa hovyo kama alivyofanya huyu

Ndio maana nikakuambia kuwa huo ulokole wake ni gheresha tu!

Uwezo Wangu Wa Kuelewa Mambo ni Mdogo Ndo Maana Sitaki Unilazimishe Nifate Unachokisimamia
 
We nawe. .
Ilikuwa ndio mara yako ya kwanza kutongoza na kukubaliwa?
 
.,, jamani msinijudge vibaya,,, niacheni nimalize.

Basi nilipomsimamisha huku majasho yakinitoka,, nikanyanyua tisheti yangu nijifute usoni kwani sikua na kitambaa cha jasho...,, huku nikihema tumbo langia ndani,larudi, kumbe nikamloga binti yule kwa kufanya vile.?

Sikupoteza muda ,,kwani mwenzake alikua ametembea kitambo kidogo, nikampa simu aandike namba yake.

Guyz sikuamini. Aliandika namba yake....nikasema tu,, AHSANTE.

Nikajipanga tena.,, nikasema hapa inanibidi nitongoze kikubwa,, nikawa real,, nikawa open,,nikamwomba K.,,PAPUCHI,,kwa akili kubwa.

Sikuamini.. Kumbe hawa mabinti wafia dini uwa wanakua na njaa kali ya mapenzi..,,

nitarudi kumalizia, nanywa chai.

Ha ha haaaaa! Huyu naye ni great thinker! Kazi kweli kweli!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umenena vema mkuu. Huyo ni agent wa Lucifer yuko kazini.:juggle:
Duuuuh! maagent kama hawa wako wengi sana Tabora, hawashindwi kwenda hadi kwa waganga wa kienyeji kuloga, wakifanikaiwa wanaanza kujisifu,,,
 
...somo zuri Sana WaliNazi. Ila Ni kawaida, hata walioko kwenye imani, washika dini wanaanguka, they're humans kwa hiyo sio ajabu Sana...Daudi, Petro na wengine wengi walianguka pia..
 
Last edited by a moderator:
Tengeza C.V u apply kazi ya kutongoza walokole atleast upate ka mshahara.Nimeona umejisifia sana mkuu.
 
Back
Top Bottom