Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako..ila wewe hapo unatengeza tu ushuhuda..sauli ndo alikua mbane lakini alipo kutana na Simba wa yuda mmhhh...alipondwa pondwa akafinyangwa finyangwa mengine Ni historia,am done.
Hayo ndo yalinikela pale nilipoishi kwa dadangu so Kila siku bwana shemj anaamka amejifunga taulo najua tu hapa Dada kashugulikiwa kweli[emoji1787][emoji1787]
Umenikumbusha mbali sana..nlivyopata kazi ya ufundi kwenye kambi moja ya jeshi jina kapuni..Jambo afande na saluti za kutosha zilini chosha akati hata mgambo sikupitia duh!!!
Siku ambayo sinto sahau ni pale tulipo peleka mahari ukweni..ebwanae si wakaleta kitu cha SBL mwanzoni ilianza vzr lkn ilipo fika hatua watu tukaanza kunena kwa lugha,,kama mjuavyo hikitu ikiishaingia na lazima iambatane na aja ndogo Yan hapo utake usitake ni lazima,basi bwana kwa kua tulikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.