Chadema atuwezi tukajiuliza ujinga huu unaoandika ukiona chadema tumekaa kimya ujue tunajua kama ni mjumbe wa kamati kuu kwa faida yako na mbulula wenzio siku tu baada ya kuchukuwa kadi aliizinishwa na baraza kuu katika kikao tulichokuwa tumekaa millennium tower ndipo alipo teuliwa kuwa mjumbe...
Viongozi wa greater Dar Es Salaam wakati wa kikao na waandishi wa habari mapema hii leo wakitoa maazimio yao dhidi ya ubaguzi unaofanywa na kituo cha television ya TBC dhidi ya upinzani.
Makamu mwenyekiti Mwakyembe ametoa onyo kali na la mwisho kwa TBC maana ni chombo cha umma kinachoendeshwa...
Temeke awajapewa Cuf Bali majimbo yote ya dar es salaam ukawa wanaangalia mgombea mwenyenguvu hivyo kwa temeke Mwakyembe anaposition nzuri kwa mgombea Wa Cuf mtolea auziki
Juzi tarehe 24/6/2015, Wazee wa Temeke wa mchukulia fomu kijana machachali wa CHADEMA Mh benard Mwakyembe ili kugombea ubunge katika jimbo la Temeke, Mh Mwakyembe amekubali na kuwaambia yupo tayari kutokana na hali ya Temeke kwa sasa pamoja na kwamba Temeke tuna bandari, tuna uwanja wa Taifa ...
There is no other way...Dr.Slaa is the next president,he is loyal and influential,a man with extraordinanary power granted by holy spirit.
There is no other way CCM will fall and UKAWA will prevail to the minds and soul of Tanzanians.
Kamanda Mbowe alienda Muheza Kata ya Tingeni na Genge CCM ikapumulia mashine.Wakamatuma Mwigulu Nchemba na JM kuokoa Jahazi.
Kata ya Genge alimanusura iende CHADEMA.Naashangaa mdogo wangu Kamanda Mbowe kuachia Tanga kwenye mikono ya CCM.
Mkoa wa Tanga sio ngome ya CUF tuache...
Ukiongelea Tanga usiangalie jimbo la Tanga Mjini tu,angalia majimbo kumi yalionaki,ni kweli CUF inakubalika Tanga Mjini kutokata na mila na desturi za watu wa Tanga Mjini Ipo Pangani,Ipo Mkinga.Je ni kweli CUF ipo majimbo yote ya mkoa wa Tanga?
CUF korogwe imekufa,Korogwe,Vijijini...
Ukiangalia uchaguzi wa 2010 Tanga combined kura za CHADEMA na CUF kwenye majimbo mengi hazifiki nusu ya kura za CCM.
Ukiangalia toka 2010 kwa mfano CUF hijafanya movements zozote za maana mkoa wa Tanga.
Tujue kwamba Tanga hakuna NCCR wala NLD.Ushindi sio miujiza ni mikakati,sasa kama...
Katika mambo tunauokosea ni kuwa wabishi kwenye mambo ya msingi.UKAWA inatakiwa kuwa na mkakati wa pamoja kupunguza kura za CCM Tanga.Huu ndio ukweli.
CCM inapita bila kupingwa kwenye robo ya kata zote za majimbo ya Tanga UKAWA wakibweteka.Mfano mzuri ni jimbo la kilindi ambalo halina...
CUF inakubalika maeneo ya pembezoni mwa bahari ya hindi,majimbo ya: Tanga,Pangani na Mkinga.
Inakubalika kidogo Muheza na Handeni.Kuanzia Korogwe mpaka Lushoto CUF haina nguvu.Jimbo la Lushoto walipata diwani kata moja kwa bahati nasibu kutokana na mgogoro wa kura za maoni za CCM 2010...
Hakuna uwekezaji wa maana wa chama mkoa wa Tanga,watu wababadilika wakielimishwa...ndio maana trend ya upinzani imekuwa kutoka 2005 hadi 2014.
Kama unakumbuka 2007 CHADEMA uliwekeza sana Kanda ya Ziwa kupitia operesheni Sangara na wasukuma wakabadilika...hata wasambaa wanaweza kubadilika...
Wewe huijui Tanga vizuri.
Tanga imegawanyika katika maeneo makuu matatu:
1.Majimbo ya Pwani
Tanga,Pangani na Mkinga.
Haya ni majimbo ya pwani na ambayo mila na desturi zao ni tofauti na maeneo mengine ya Tanga.Moja ya kabila la maeneo haya ni wadigo ambao kiasili ni watu wa Mombasa.Hawa...
Hata mikoa ambayo CHADEMA inakubalika haishindi kwa asilimia angalau 60,sasa ukishinda kwa mfano Kagera kwa 54% halafu Tanga unashindwa kwa 86%,mikakati yako haina maana.
CHADEMA itakuja kulia isipoutilia mkoa wa Tanga maanani kwa kuamini CUF ndio imakubalika.CUF haina investment yoyote ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.