Ni lini Edward Lowassa ameteuliwa na kuthibitishwa kuwa mjumbe wa kamati kuu CHADEMA?

May 22, 2016
63
59
NI LINI EDWARD LOWASSA AMETEULIWA NA KUTHIBITISHWA KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU CHADEMA?


Kwa siku za karibuni, Waziri Mkuu aliyeshinikizwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na Mwamvuli wa UKAWA, EDWARD LOWASA amekuwa anatambulishwa kama Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA. Sote tunafahamu kuwa aliyeteuliwa rasmi na kupitishwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ni Frederick Sumaye. Ni Sumaye ndiye tulitangaziwa na taarifa zake kusambazwa kwenye media ikiwemo social Media kuwa ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA.

Hata hivyo, hakuna ushahidi wa dhahiri shahiri wa kuthibitisha juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu. Je uamuzi huo umefanyika gizani na kimya kimya? Au kwa uamuzi wake tu wa kukinunua chama na kugombea Urais ndo unamfanya awe Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA? Je kuna ushahidi wowote juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA?.

Maswali haya yalipaswa kuulizwa na wana CHADEMA wenyewe ila kwa vile uwezo wao ni mdogo, hili hawajaliona na ndo maana wamekaa kimya.
 
Chadema atuwezi tukajiuliza ujinga huu unaoandika ukiona chadema tumekaa kimya ujue tunajua kama ni mjumbe wa kamati kuu kwa faida yako na mbulula wenzio siku tu baada ya kuchukuwa kadi aliizinishwa na baraza kuu katika kikao tulichokuwa tumekaa millennium tower ndipo alipo teuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu
 
NI LINI EDWARD LOWASSA AMETEULIWA NA KUTHIBITISHWA KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU CHADEMA?


Kwa siku za karibuni, Waziri Mkuu aliyeshinikizwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na Mwamvuli wa UKAWA, EDWARD LOWASA amekuwa anatambulishwa kama Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA. Sote tunafahamu kuwa aliyeteuliwa rasmi na kupitishwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ni Frederick Sumaye. Ni Sumaye ndiye tulitangaziwa na taarifa zake kusambazwa kwenye media ikiwemo social Media kuwa ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA.

Hata hivyo, hakuna ushahidi wa dhahiri shahiri wa kuthibitisha juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu. Je uamuzi huo umefanyika gizani na kimya kimya? Au kwa uamuzi wake tu wa kukinunua chama na kugombea Urais ndo unamfanya awe Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA? Je kuna ushahidi wowote juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA?.

Maswali haya yalipaswa kuulizwa na wana CHADEMA wenyewe ila kwa vile uwezo wao ni mdogo, hili hawajaliona na ndo maana wamekaa kimya.
Mkuu kwasasa huku chadema kuna lowassa.scolarship,Ben-Yeriko chakushangaza hadi Baregu kaidhinishwa kwa ufadhili huu sijui akasomee nini......kweli hela mbaya.
 
NI LINI EDWARD LOWASSA AMETEULIWA NA KUTHIBITISHWA KUWA MJUMBE WA KAMATI KUU CHADEMA?


Kwa siku za karibuni, Waziri Mkuu aliyeshinikizwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na Mwamvuli wa UKAWA, EDWARD LOWASA amekuwa anatambulishwa kama Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA. Sote tunafahamu kuwa aliyeteuliwa rasmi na kupitishwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ni Frederick Sumaye. Ni Sumaye ndiye tulitangaziwa na taarifa zake kusambazwa kwenye media ikiwemo social Media kuwa ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA.

Hata hivyo, hakuna ushahidi wa dhahiri shahiri wa kuthibitisha juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu. Je uamuzi huo umefanyika gizani na kimya kimya? Au kwa uamuzi wake tu wa kukinunua chama na kugombea Urais ndo unamfanya awe Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA? Je kuna ushahidi wowote juu ya Lowasa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA?.

Maswali haya yalipaswa kuulizwa na wana CHADEMA wenyewe ila kwa vile uwezo wao ni mdogo, hili hawajaliona na ndo maana wamekaa kimya.








Nafikiri ungeanza wewe kutupa ushahidi wa dhahiri shahiri ili kuthibitisha madai yako ya Mh.Lowassa kuinunua CHADEMA,vinginevyo wewe unayeleta jukwaani hadithi zinazoandikwa kwenye ubao wa kisonge kuwa Lowassa kainunua CHADEMA ndiyo unadhihirisha nakisi ya ubongo uliyonayo.Dhihirisha huo uwezo wako mkubwa kwa kutuletea hapa jukwaani Risiti zinazoonesha bei ya mauzo ya CHADEMA kwa Mh.Lowassa.
 
Haya ni maswali ya msingi sana ambayo nilipowauliza mimi waliniona lofa. Haya sasa mada ile ile imekuja tena humu. Kinachotakiwa hapa si mods kufuta ama kuunganisha nyuzi bali tujibiwe kisawasawa
 
Wewe uliye na uwezo mkubwa upo upande gani?? Na wewe ndiye usemaye hapa kuwa Lowasa ni mjumbe wa kamati kuu ya chadema, tupe ushahidi wa maneno yako hapa. Tangu lini wapinzani wa chadema wakawa wanahoji mambo binafsi yanayoendelea chadema na kujifanya wanaijali chadema?? . Em kafikirie vizuri alafu ndio uje na kitu cha msingi
 
Chama kimeshapoteza misingi,halafu wanapigania katiba mpya,kama katiba ya chama unashindwa kuipigania,yajamuhur utaweza kuitendea haki?
 
Chadema atuwezi tukajiuliza ujinga huu unaoandika ukiona chadema tumekaa kimya ujue tunajua kama ni mjumbe wa kamati kuu kwa faida yako na mbulula wenzio siku tu baada ya kuchukuwa kadi aliizinishwa na baraza kuu katika kikao tulichokuwa tumekaa millennium tower ndipo alipo teuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu
Duh!!kweli chama cha kambale
Unazijua sifa za kuwa mjumbe wa kamati kuu chadema?
 
Nafikiri ungeanza wewe kutupa ushahidi wa dhahiri shahiri ili kuthibitisha madai yako ya Mh.Lowassa kuinunua CHADEMA,vinginevyo wewe unayeleta jukwaani hadithi zinazoandikwa kwenye ubao wa kisonge kuwa Lowassa kainunua CHADEMA ndiyo unadhihirisha nakisi ya ubongo uliyonayo.Dhihirisha huo uwezo wako mkubwa kwa kutuletea hapa jukwaani Risiti zinazoonesha bei ya mauzo ya CHADEMA kwa Mh.Lowassa.
Wewe kweli nyumbu
Shughuli za kiofisi za chadema zinafanyika mikocheni kwa lowassa
Lowassa kuwapa ubunge watu wake ka Ruth mollel ambae hata rangi za chadema hazijui
Lowassa hajavaa gwanda wala sare za chadema na hakuna wa kumnyooshea kidole
Lowassa kasema hakuna kupiga kelele kuhusu ufisadi,sasa kimya hakuna operesheni sangara
Lowassa kasema anajipanga kugombea 2020,kinyume na katiba hakuna aliefanya fyoko,hapa lema anahusika,zitto alionesha nia alishukiwa kama kifaranga cha kuku
Vipi bado unataka tu ushahidi?
 
Ruth Mollel nadhani ni nafasi aliopewa ya upendeleo ya Mke wake! Amesaidia s kuleta kura za urais na wabunge ambapo inachangia sana kwenye ruzuku ya chama! Uchaguzi wa mwaka jana ulikuwa na mvuto mkubwa sana duniani!!
Wewe kweli nyumbu
Shughuli za kiofisi za chadema zinafanyika mikocheni kwa lowassa
Lowassa kuwapa ubunge watu wake ka Ruth mollel ambae hata rangi za chadema hazijui
Lowassa hajavaa gwanda wala sare za chadema na hakuna wa kumnyooshea kidole
Lowassa kasema hakuna kupiga kelele kuhusu ufisadi,sasa kimya hakuna operesheni sangara
Lowassa kasema anajipanga kugombea 2020,kinyume na katiba hakuna aliefanya fyoko,hapa lema anahusika,zitto alionesha nia alishukiwa kama kifaranga cha kuku
Vipi bado unataka tu ushahidi?
 
Haya ni maswali ya msingi sana ambayo nilipowauliza mimi waliniona lofa. Haya sasa mada ile ile imekuja tena humu. Kinachotakiwa hapa si mods kufuta ama kuunganisha nyuzi bali tujibiwe kisawasawa

Naona machizi mmeitana huko mlikokuwa
 
Kuna comment ya Yeriko Nyerere ambaye aliandika jana kwenye uzi huu kuwa kwa Mujibu wa Katiba ya CHADEMA, kwa Lowasa kuwa Mgombea Urais automatically anakuwa Mjumbe wa Kamati kuu. Nikamuuliza tena kwa busara kuu, je anaweza kutuwekea kifungu cha Katiba kinachoeleza juu ya jambo hilo, hakujibu. Leo post hiyo ya Yeriko siioni na wala swali nililouliza silioni. Sijajua nini kimetokea.
 
Chadema atuwezi tukajiuliza ujinga huu unaoandika ukiona chadema tumekaa kimya ujue tunajua kama ni mjumbe wa kamati kuu kwa faida yako na mbulula wenzio siku tu baada ya kuchukuwa kadi aliizinishwa na baraza kuu katika kikao tulichokuwa tumekaa millennium tower ndipo alipo teuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu

Mmh! I doubt. Mbona haijawahi kutangazwa??
 
Ruth Mollel nadhani ni nafasi aliopewa ya upendeleo ya Mke wake! Amesaidia s kuleta kura za urais na wabunge ambapo inachangia sana kwenye ruzuku ya chama! Uchaguzi wa mwaka jana ulikuwa na mvuto mkubwa sana duniani!!
Kama ni kupendelewa kwa nini apendelewe mollel?kuna kina mama wamepigwa virungu shauri ya chadema
Kubalini tu chama kimeuzwa
 
Back
Top Bottom