jamani naombeni wanajamii forum tuliofanya interview pale ubapa kwa nafasi ya surveyors tarehe 1/9/2015 naomba atakayepata taarifa tujuzane kwani walisema wataanza kupiga simu kuanzia leo
Habari zenu wanajamii forum mm ni mzima wa afya kabisa ila ombi langu ninatafuta kazi ya kuuza duka,supermarket, na hata kampuni hizi za utafiti mwenye kunisaidia naombeni nimezunguka kupata kazi imeshindikana nipo dar elimu yangu kidato cha nne
Huyo achana naye hana shida na kazi mm niko hapa natafuta kazi nipo tu mtaani kazi ambazo naweza kufanya ni kuuza duka la bidhaa hata la vifaa vya ujenzi, kuuza kwenye supermarket, kufanya utafiti kwenye makampuni hizo kazi nina uzoefu nazo
Anayejitambua mwenyewe upendo wa dhati mfupi wastani na Kwa ambaye yupo tayar naomba anichek pm ili tuweze kuongea zaidi na awe anaishi dsm karibu na maeneo ya Mikocheni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.