Itakuwa ya kutembeza vyombo vya nyumbani au kuuza sabuni na dawa za meno za promosheni!
Itakuwa ya kutembeza vyombo vya nyumbani au kuuza sabuni na dawa za meno za promosheni!
Tuma cv yako kwa glorytarimo@hotmail.com[/QUOT
Mm nina hard copy, ndo maana nkasema unielekeze nije moja kwa moja na vyeti vyangu pamoja na cv
Kumbe Wabongo Huwa Tunakosa Kazi Kwa Kujitakia Wenyewe Na Haswa Kwa UPOPOMPO Wetu. Umeshaambiwa Kama Upo Interested Tuma Email Kwao Ya Kujieleza Tu Na Sijaona Ni Wapi Wamesema Upeleke Cv. Tukikosa Ajira Tuwe Tunajichunguza Pia Na Sisi. Nimesikitika Mno!
Kumbe Wabongo Huwa Tunakosa Kazi Kwa Kujitakia Wenyewe Na Haswa Kwa UPOPOMPO Wetu. Umeshaambiwa Kama Upo Interested Tuma Email Kwao Ya Kujieleza Tu Na Sijaona Ni Wapi Wamesema Upeleke Cv. Tukikosa Ajira Tuwe Tunajichunguza Pia Na Sisi. Nimesikitika Mno!
We mburura nn huna kazi ya kufanya bora ukae kimya, hapa si sehem ya kukoment post za watu.
We mburura nn huna kazi ya kufanya bora ukae kimya, hapa si sehem ya kukoment post za watu.
Wenye Akili Kukuzidi Wamenielewa Na Siyo Lazima Mbwa Koko Wewe Unielewe Ukizingatia Ubongo Wako Ni Pentium Zero.
Wenye Akili Kukuzidi Wamenielewa Na Siyo Lazima Mbwa Koko Wewe Unielewe Ukizingatia Ubongo Wako Ni Pentium Zero.
Ukigombana na mental always unakuwa mental. Let me say its enough.
Ukigombana na mental always unakuwa mental. Let me say its enough.
Hapa Lazima Uchemshe Tu. Sikujipa ID Hiyo Kimakosa Na Naitendendea Haki ID Yangu! Nakupongeza Kwa Kusalimu Amri Kwani Ungeyakoga.
Mwanaume utakula kwa jasho manina.