Recent content by Benjamin10

  1. Benjamin10

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Atafanya hivyo endapo Iran au nchi yeyote itaipiga marekani kwenye ardhi yake! Wewe hujiulizi kwanini hawaipigi USA kwake??? Wanapiga base zake?
  2. Benjamin10

    Tetesi: Salum Mwalimu na John Mrema kuteuliwa Wakuu wa Mikoa, Yericko Nyerere kuwa DC

    Na vijana wa UVCCM tupo tunawaangalia wakiteuliwa hii Mimi itaniuma sana
  3. Benjamin10

    Tetesi: Esther Luxury Airlines kuanza safari 2026

    Ni kitu kizuri sana, Kuna kuza uchumi baadhi ya vijana wataneemeka kwa kupata ajira
  4. Benjamin10

    PDF la oil chafu hili hapa

    Kuna mashine Moja niliiona TikTok inasafisha oil chafu na inakua safi.. kwa matumizi,, ila wachina
  5. Benjamin10

    GE2025 Kimeumana kesi ya wahaini: Mahakama yaiamuru Serikali kutaja uraia wa watuhumiwa

    Kwani serikali ni nani? Mzee serikali hawezi pingana na nguvu ya umma, itafeli tu!
  6. Benjamin10

    Naomba kufahamishwa utaratibu wa kufungua duka la dawa muhimu za binadamu

    Kuna rafiki yangu alitaka kufungua Kuna taratibu alipewa baadhi naweza kushea na wewe 1. Vibali kutoka TFDA 2.Tin namba 3.mmliki wa duka hutakiwi uuze wewe ajili mtu akuuzie. 4.muuzaji lazma aende akasomee kozi ya phamasia ile ya miezi 2 sijui mitatu ada 400000 5.kuna umbali maalumu kutoka duka...
  7. Benjamin10

    Vitu vinavyo ongeza gharama za ujenzi

    Kiwanja cha ukubwa wa square mita 350, kinatosha kujenga nyumba ya vyumba vingapi?(Standard sio vikubwa)
  8. Benjamin10

    Me niko Poland, we uko wapi?

    jamii forum kwangu unasumbua sana, nyie kwenu ikoje?
  9. Benjamin10

    Vituko vya Wakubwa Tz. Kuna Wabunge pia waliwahi kuwa Madada Poa

    mwenye meno akiche, mwenye mapengo huudhika😂
  10. Benjamin10

    Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

    Tia mimba, halaf uone kiburi cha wazaz wake kitaishia wapi
  11. Benjamin10

    Mmoja anielezee hiki kikokotoo cha mkopo NMB

    Nadhani kaja kushea uzoefu,,, masna imekua faida kwa wengine, tuliokua hatujui kitu kuhusu mikopo
Back
Top Bottom