Hujanyoosha maelekezo kipi ulimfanyia mpaka ahisi umemdhalilisha, ulibaka? Au ulitembea na mfanyakazi mwenzake?? Maana mpaka mwanamke akublock si jambo dogo!!
Au ni deko tu? Ndo tatizo la kuwalea wanawake kama mayai,, huyo ilitakiwa unampiga VIBAO mara mojamoja akuheshimu
Safi kabisa hili suala naliunga mkono, na Tena hiyo nyumba uliyokua umempangia lingekua linasoma jina lako kwenye mkataba wa upangaji, ili kama angeenda police kulalamika kua amefanyiwa fujo kwake, ungewaonyesha mkataba wa upangaji unasoma jina la nani ! Ndo atajua ni kwake au kwako!😂😂
Huyo wa kwanza mwanajeshi, alikua anakupenda sana, sema tu tamaa au Kuna shinikizo lilimpelekea mpaka akaamua kuolewa kimya kimya, ili asikuumize roho,
Huenda aliyemuoa ndiye aliyempatia mafanikio aliyonayo kwa sasa, kwa Hadi ya kuoana,
Wewe ulikua na Hadi Gani kwake?
Na hii akiipata Azam, baaas shughuli hamna Tena, vifurushi vitaanzia 50
Ndo hapo, kupata ataweza kupata, ila wadau NYINYI mnaweza kuilipia kifurushi cha 100K?? Yeye anaangalia atarudishaje hyo pesa na faida atapataje??
Siku nyingine baada ya kuiandika karibu kupitia pitia story Yako japo mara tatu, kama wadau watielewa, kiupande wangu nimeielewa japo kwa taabu sana..
Cha kukushauri we mute tu kama hujui chochote.. maana baadae yatakuja kukugeukia, jamaa Yako alikua unamjua, atakulaumu sana, na shemeji akija...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.