Recent content by benikiko

  1. B

    Application Fast Jet

    Deadline ni lini
  2. B

    Niwarudishie mkopo wao NMB au niondoke kimyakimya?

    Naomba niulize swali, nafanya kazi serikalini, kwa Bahati nzuri nimepata kazi nyingine ya private ambapo wananilipa vizuri na kwa mda huo nimechukua mkopo NMB na katika makato cjafikisha hata mwaka. Je niwalipe pesa yao au niondoke kimyakimya?, je kuna madhara yoyote yatakayo nipata?. Naomba...
  3. B

    ada za kusoma masters juu

    Duh!! Nimesoma coment yako nimeumia japo ulichosema ni cha ukwel maan hata mim natak nibadilishe professional nichukue nyingine yani kwa mfano labda utoke ualimu uende human resource.nimfano tu c wa kwel.
  4. B

    Masters programme

    Duh!!! Natokea kazini nataka nichukue human resource
  5. B

    Masters programme

    Asante mkuu hvy hvy kujiendeleza ajira zenyew hazieleweki na umepata mfadhili huwez acha kwenda
  6. B

    Masters programme

    Naomba website ya UDOM maan kila nikiingia sion masters programme zaidi naona mambo ya degree tu.nataka nichukue ya human resource ipo?
  7. B

    Masters programme

    Thanx nitachek wangu
  8. B

    Masters programme

    Wanaharakati wenzangu naombeni msaada kwa anayefahamu application form za masters za vyuo hivi zinatoka lini na qualifiction zao ni zipi yan wanachukua GPA ya ngapi?UDOM,MZUMBE,&ST AGUST YA MWANZA
  9. B

    Why not us called PCCB for interview?????

    Mfyuuuuuuu.huwez jib tuliza kalio kobilo
  10. B

    Why not us called PCCB for interview?????

    Jaman mbn nimeskia wataita tena zipo awamu 3.
  11. B

    Wapi naweza kujifunza Kingereza cha kuongea na kuandika

    Moshi hawan branch? Na ni kiac gan kw hy course
  12. B

    Best English Course Center

    Moshi vip hamna branch? Na ni how much na kwa mda gani
  13. B

    Ushauri

    Thanx kababi, hiyo pia nilifikiria sema sas huon kam kuanza postgraduate then masters itachukua muda sana ukiangalia yenyew ni ruhusa umepew kazin ya two years Kababi
  14. B

    Ushauri

    Kay thanx kw kujib
  15. B

    Ushauri

    Wanajamii forum naomba ushauri.mfano na degree ya education then nataka nikajiendelez masters ya kitu kingine may be human resource or public administration.je inawezekana? Kama ndio je kwenye ajira naweza pata au nd itakuw tabu
Back
Top Bottom