imani ernest
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 138
- 91
sijui kwa hapa arusha ntawezaje kupata huduma kama hiyo,mimi naweza kuongea na kuandika vizuri tu(kwa level za 2nd language) ila ukinichomekea swali la ghafla,naanza kuyumba!!au ghafla nikitakiwa nielezee kitu ambacho hakikuwa kwenye mawazo yangu kabisa,utanionea huruma mswahili mie! Stutter stutter zinaanza chap!