Wanna mpaka wameenda kushitaki, walitaka wapewe point 3, walipwe gharama za hasara, na wakasema hatuchezi tena. Sasa je hiyo tarehe 25 vitu hivyo vimelipwa kwa Yanga?
Apa siyo darasani, kitendo cha ww kuandika liujumbe mreefuuu kama kitabu kinaonyesha wewe mwenyewe kwanza una uwezo mdogo pengine kuzidi hao uwasemao.
Pili tambua mtu kuwa chadema au ccm ni suala la kiitikadi ya mtu. Umeongea km vile unahisi kuna kundi linazaa ccm na lingine linazaa Chadema...
Alikuwa anafaurisha mafuta huyo, kutoka tank moja la ziada kwenda kwenye tank la kaz. Gar zingine hazina automatic pump ya kufaurisha.
Acha tabia ya kiboya kuwazia mtu negative bila uchunguz wa uhakika. Unaujuwa mfumo wa mafuta wa Shania kwel??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.