Recent content by bending moment

  1. bending moment

    Ushauri nataka kuchukua subaru SJG 2014

    Shukran mkuu nlishachukua sj5 2013
  2. bending moment

    Nataka kuchukua mazda cx 5 2015

    Wakuu habari ya jumapili,nataka kuchukua hiyo chuma kutokana na muonekano wake comfortability, pia fuel consumption ipo vzuri. Ushauri: nmekuta malalamiko sehemu baadhi ya hzo gari mara dpf, pipe but wanadai 2015,2016 haina hzo shida Wajuzi wa mambo msaada wenu je ni kweli hzi sio sumbufu kama...
  3. bending moment

    KERO Wafanyakazi wa TRA ofisi za jengo la SIDO & Mwanjelwa huduma zenu mbovu

    aisee npo hapa masaa kadhaaleo tareh 19/09 wahududumu wapo ni mwendo wa story na kula tu sisi tumekaa kwenye viti😂😂
  4. bending moment

    Ushauri nataka kuchukua subaru SJG 2014

    wakuu habari za muda huu, nmejichaga sasa nahitaji gari ya juu na katika pita pita zangu hii chuma nmeielewa sana sasa wataalamu naomba mnifahamishe vitu hivi upatikanaji wa spare ( nipo mbeya) changamoto zake ni zpi ulaji wa mafuta na ipo bora yenye turbo au isiyo na turbo( mizungiko yangu ni...
  5. bending moment

    Nanunua google play console mpaka Tsh. Milioni 1

    Habari, nanunua google play console yenye zaidi ya mwaka bei 500,000 mpka 1M. ikiwa na live apps +sourcecode& keystore itapendeza zaidi
  6. bending moment

    Maswali na Majibu kuhusu gari aina ya Toyota Voltz

    Na body take n Ngumu huwezi linganisha na sapcio na IST wala vitz Sent using Jamii Forums mobile app
  7. bending moment

    Maswali na Majibu kuhusu gari aina ya Toyota Voltz

    Msiofahamu Voltz ni hyo, huu mwaka wa pili simjui fundi gereji zaidi ya kuchange oil, na kila kitu kipo safiii Sent using Jamii Forums mobile app
  8. bending moment

    Maswali na Majibu kuhusu gari aina ya Toyota Voltz

    Hufahamu magari tunaomuliki ndo tunajua Sent using Jamii Forums mobile app
  9. bending moment

    Maswali na Majibu kuhusu gari aina ya Toyota Voltz

    Roho ya paka hyo ni kama rav 4 old model, mafuta ni 14km/L. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. bending moment

    GB 50 za Vodacom

    Hahahaha mnataka trick Sent using Jamii Forums mobile app
  11. bending moment

    NAUZA FRIDGE USED

    Kwa nini unaliuzaa?
  12. bending moment

    Ulikuwa na miaka mingapi pale ulipoweza kutengeneza million yako ya kwanza?

    2013 nkiwa na 22yrs nlipiga kama dola 600 hivi 1M+ Kupitia Google adsense (blogging) Mpka sasa nmeamaliza na degree yangu ya civil engineering cjawahi gusa cheti toka nmechukuaa chuo mpo na computer yangu siku hizi sikosi dola 5,000+/month...(karibuni online)
Back
Top Bottom