Wananchi kukataa bado hakuwezi kuhakikisha matokeo. Sheria ikishapitishwa serikali ina wajibu wa kuhakikisha inatekelezwa. Hilo ni moja kati ya majukumu ya serikali na haiwezi kulikimbia.
Soko huria lina mipaka. Kuna baadhi ya mahusiano ya kibiashara, ajira na bidhaa zinadhibitiwa na sheria ili kuwalinda wasio na nguvu kwenye soko, kulinda ustawi wa wananchi na maendeleo ya kiuchumi.
Kwa mfano huwezi kutoza nauli ya dalala au basi zaidi ya kima kilichowekwa na LATRA ukasema eti...
Mimi nikiwa na ushahidi usio na shaka kwamba mke wangu ameliwa, hiyo ni talaka with immediate effect.! Girlfriend aliwe hata mara milioni. None of my business. Ila kwa mke no way naweza kukubali kuitwa mume wa mwanamke ambaye najua wazi kuwa ameliwa during subsistence of our marriage.
Mshabiki anatolewa kwenye mchezo ili iweje? Anacheza? Ni kocha? Nashindwaga kuelewa hizi hoja za kutolewa kwenye mchezo.
Lakini nina mashaka huenda hizi tetesi za Kamwe kufungiwa hazina ukweli, ila zimetengenezwa ili kuwafanya TFF wasite kumfungia. Huenda amekutwa na hatia lakini bado...
Ipo shule ya msingi huku ninapoishi wanafunzi wa darasa la saba wanatoka saa tatu usiku. Wamiliki hizi shule za private wana upumbavu wa kushangaza mno.
Wapo wengi mno. JPM aliwasamehe 61 kati yao mwaka 2017. Ripoti ya tume ya Haki Jinai mwaka 2022 inasema kulikuwa na wafungwa zaidi ya 600 waliokuwa wanasubiri kunyongwa magerezani. Tume ya Haki jinai nao ni waongo? Yule mzee Matonya aliyehukumiwa kunyongwa miaka ya 1980 na Magufuli akamsamehe na...
Mwaka 2017 JPM aliwasamehe wafungwa 61 ambao walihukumiwa kunyongwa. Wengi wao walikuwa gerezani kwa miongo kadhaa. Walijitokeza na wakatoa simulizi zao kuhusu mauaji waloyotiwa nayo hatiani. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa wale walitengenezwa ili kutudanganya? Au walinyongwa halafu wakasamehewa?
Andiko zuri. Ni sahihi kwamba ni ngumu kuua na kuziba mianya ya kufuatiliwa. Ushahidi wa kisayansi kama DNA, alama za vidole, mawasiliano ya simu ni ngumu kukuacha salama. Lakini pia kila anayeua kwa kawaida huwa na hamasa (motive) fulani ambayo huchangia kumhusisha na mauaji. Lakini kuna...
Asilimia 90 ya wabongo ni wapumbavu mno linapokuja swala la kushughulikia wanaotajwa kuwa wezi. Unakuta mtu ameitiwa mwizi, mtu haulizi anaokota jiwe anamrushia. Ni upumbavu wa hali ya juu.
Kuna rafiki yangu mmoja aliuawa pamoja na mdogo wake kwa kuitiwa wezi baada ya kugombana na mtu ambaye...
Enzi za JK shule nyingi za kata zilianzishwa na zilihitaji walimu wa kutosha. Kadri miaka ilivyokwenda ziliendelea kupata walimu na sasa shule zote kuna walimu. Ingawa nakiri kwamba walimu hawatoshi huko mashuleni lakini hali sio kama ilivyokuwa wakati shule za kata zinaanzishwa. Hivyo kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.