Recent content by Benaire

  1. Benaire

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hivi nawezaje kupata Episode 34 maana nimeitafuta sana bila mafanikio
  2. Benaire

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER ... Please send me Chapter 9....Sijaiona
  3. Benaire

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mwenye Season 9 , anisaidie maana nimeitafuta bila mafanikio
  4. Benaire

    Naomba kupata taarifa za Wasanii wa Makundi ya Bongo Fleva

    Nimeipenda hii... Bado Waswahili by Nature
  5. Benaire

    Naomba kupata taarifa za Wasanii wa Makundi ya Bongo Fleva

    Ningependa kupata taarifa za makundi ya bongo fleva.... Yaliundwa na wasanii gani, yalianzishwa mwaka gani, na walitoa ngoma gani na pia kupata picha zao 1: Living with Purpose (LWP) 2: Big Dog Pose (BDP) 3: Waswahili by Nature 4: Manzese Crew 5: Wandago 6: Wateule 7: Watengwa 8: Daz Nundaz 9...
  6. Benaire

    Naomba kujua tofauti kati ya Vanguard na Harrier 240g

    Kama ni ajali hata crown zinawamwaga sana vijana
  7. Benaire

    GE2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

    Yuko sawa, kwa sababu Tanzania mawakili hawako huru, ndio maana Fatuma kafutwa uwakili, Jebra Kambole anasumbuliwa. Hivyo kuwa na wakili wa kimataifa, kutamsaidia hata kwenye mahakama za kimataifa. Ndio maana hata Simba na Yanga zina makocha wa kizungu ili watusue kimataifa.
  8. Benaire

    Jiji la Mwanza ni tishio, kasi ya ukuaji ipo juu

    Mwanza ni Jiji zuri sana na linakuwa kwa kasi... Wanaosema kuna msongamano hawaijui Dar na Lagos... Sidhani kuna sehemu watu wamesongamana kama kwenye miji hiyo... Wanaoilinganisha na Arusha wanakosea.... Tangu 2008 , Mwanza ndio jiji safi kwa majiji yote Tanzania.... Takwimu zipo Kwa mapato...
  9. Benaire

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    But ya Afande sele siyo hiyo, ipo maudhui yake yanazungumzia kifo... Kuna sehemu anasema "kifo kinaweza kukuta hata upo ndani umekaa"
  10. Benaire

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Thanks ndugu..... Umeifanya siku yangu iende vizuri
  11. Benaire

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna nyimbo hizi nazitafuta sana 1: Anita -Matonya 2: Mbele yako - Afande sele 3: Maji ya shingo - Daz Nundaz 4: Bongo Dar es salaam - Prof J 5: Latifa - Mb Dogg 6: Siamini - Matonya 7 : Kamanda - Daz Nundaz 8: Mkuki Moyoni -Afande sele 9: Niko busy - Jafaray ft Daz Baba 10: Machozi - Lady JD
  12. Benaire

    Kuna viwanja vinauzwa Goba kwa msumi

    Wakati unaendelea kutafuta kazi, kuna viwanja vinauzwa Goba kwa msumi... Ukipata Mteja bei sh 7m nicheck akinunua utajipatia sh 300,000 bila makato yoyote.... Viwanja ni surveyed, ukubwa kuanzia 400 sqm...
  13. Benaire

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Maandamano yakilindwa vizuri na watu kutoa dukuduku zao itawafanya watu waone kumbe sio jambo la kushupalia kivile, tatizo ni makatazo na uoga kutoka kwa viongozi, kumbuka makatazo ndio yalipelekea Adam kula tunda. Tumekuwa ni nchi ya vitisho na mabiti kila kukicha, tutajenga jamii mbovu in the...
  14. Benaire

    Kwanini Gazeti la Africa Confidential linamdhalilisha Rais wetu na Watanzania kwa ujumla?

    Tubadilike mtoa post.... Wenzetu wamehama kupambana na vyombo vya habari ila wanapiga kazi kuvi-prove wrong.
Back
Top Bottom