Me alikuwa manzi yngu alianza kuniambia "wewe mwanaume huko na mimi miaka yote tafuta pisi nyingine me nikadhani masihara a then simu zangu akawa apokei,status ananipiga vijembe daily huku najitaidi kumuomba msamah ingawa silijui kosa....Dah!!! Kuna day ilikuwa night nilimcall nikamuuliza mbn...
The one who try to help us..... Binadamu tunamchukia me sishangaii coz hata masihi walimchukia bila sababu ingawa alitupenda sana wanadam
N hakun businessman yoyote anaepanga kupunguza clients wake keep it in your mind
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unadhani ni biashara gani ambayo baada ya miaka 5 au 10, ambayo ukiwekeza kwa wakati huu inaweza kuleta faida kubwa
Maoni yako yanaomba yawe chanya kuhusiana na hili swala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.