Ni aibu kwa taifa wanafunzi wa Vyuo Vikuu kutoendelea na masomo kisa Corona

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
21,272
34,247
Hii inashangaza sana.

Inakuaje wanafunzi wa vyuo vikuu wamekaa tu nyumbani na hawaendelei na masomo kisa korona!

Hii inawezekanaje?

Mnashindwa hata kufanya "online sessions"?

Yani prof yuko nyumbani kwake ana host kipindi online na wanafunzi wote wanafundishwa wakiwa majumbani kwao?

Yani mwanafunzi wa chuo kikuu yuko nyumbani anasema wataendelea kusoma baada ya korona kuisha! Je isipoisha?

Muda unaenda, je huu muda mta ufidia vipi?

Hii ni aibu kwa vyuo vikuu Tanzania!
 
Tanzania bado tuko nyuma vyuo vimeshajaribu ila tatizo ni wanafunzi, kuanzia location walipo na availability of network, pia data sio bure, na vifaa vina shida pia sio kila mwanafunzi ana PC au good smartphone maana kama ni Zoom na zingine za aina iyo zina chakua aina ya kifaa kutokana na version.
 
Tanzania bado tuko nyuma vyuo vimeshajaribu ila tatizo ni wanafunzi, kuanzia location walipo na availability of network, pia data sio bure, na vifaa vina shida pia sio kila mwanafunzi ana PC au good smartphone maana kama ni Zoom na zingine za aina iyo zina chakua aina ya kifaa kutokana na version
Una point ya msingi japo kiuhalisia zaidi ya 98% ya wanafunzi wanamiliki smartphone na/au laptop, kwahiyo inaeza isiwe excuse!!
 
Umeandika ukiwa Tanzania au nchi gani? Hivi umejiuliza ni maeneo mangapi nchini yanapata mtandao mzuri wa kuweza ku-stream hizo lecture?

Mimi ni mmoja wa wanafunzi kutoka chuo kimoja nchini na tangu tumerudi nyumbani kipindi hiki cha Corona, vipindi vinaendelea kama kawaida kupitia ZOOM na assignment zinatolewa na kuwa submitted kupitia system ya chuo (MOODLE)

Kwa eneo nilipo daytime kupata hata 1mb/s ni mtihani huko ZOOM hata humpati mwalimu vizuri bado bando za Internet ni ghali kumudu gharama zake sio wote wana uwezo huo. Maeneo mengi nchini hayana coverage ya 4G na ambayo yanayo pia bando za 4G ni ghali kwa mwanafunzi anayetoka maisha ya kawaida sio kila siku ataweza kumudu hizo gharama za bando.

Kiukweli miundominu ya hapa nchini ndio inakwamisha hilo zoezi sanasana upande wa Internet. Sio rahisi kama unavyoliona.
 
Tanzania bado tuko nyuma vyuo vimeshajaribu ila tatizo ni wanafunzi, kuanzia location walipo na availability of network, pia data sio bure, na vifaa vina shida pia sio kila mwanafunzi ana PC au good smartphone maana kama ni Zoom na zingine za aina iyo zina chakua aina ya kifaa kutokana na version.
Umejitahidi kujibu mkuu, hii ndio point ya msingi sana..
 
Umeandika ukiwa Tanzania au nchi gani?
Nimeandika nikiwa Tanzania.
Hivi umejiuliza ni maeneo mangapi nchini yanapata mtandao mzuri wa kuweza ku-stream hizo lecture?
Kabla sijajibu swali lako, naomba nikuulize!

Mfano mwanafunzi ana kademu kake au kaboifrendi kake, alafu akamuomba aje sehemu wakutane, je atakataa?

Sasa kama anaweza kutoka nyumbani nyumbani kwake kwann ashindwe kwenda sehemu yenye mtandao walau mara moja kwa wiki tena kwa masaa kadhaa ili apate nafasi ya kufwatilia somo?

Mimi ni mmoja wa wanafunzi kutoka chuo kimoja nchini na tangu tumerudi nyumbani kipindi hiki cha Corona, vipindi vinaendelea kama kawaida kupitia ZOOM na assignment zinatolewa na kuwa submitted kupitia system ya chuo (MOODLE)
Kama mmefikia hatua hii mnahitaji pongezi!
Kwa eneo nilipo daytime kupata hata 1mb/s ni mtihani huko ZOOM hata humpati mwalimu vizuri bado bando za Internet ni ghali kumudu gharama zake sio wote wana uwezo huo.
Naweza pia nisikubaliane na wewe, minimumly Tz kwa sasa bando ni shi ngapi? kweli kuna mwanachuo anaweza kosa ela ya bando nchi hii? fine amekosa, walimu wanashindwa vipi kurekodi sessions zao ili wanafunzi wazipate hata baada ya live sessions?
Maeneo mengi nchini hayana coverage ya 4G na ambayo yanayo pia bando za 4G ni ghali kwa mwanafunzi anayetoka maisha ya kawaida sio kila siku ataweza kumudu hizo gharama za bando.
Si kweli kwamba kutumia zoom or the alike ni lazima uwe na 4G, nna 3G na nnatumia zoom bila shida.
Kiukweli miundominu ya hapa nchini ndio inakwamisha hilo zoezi sanasana upande wa Internet. Sio rahisi kama unavyoliona.
Bado siwezi kubaliana na wewe, maana kama ni miundo mbinu wenda utakua unaongelea internet na kwa maeneo mengi yana internet nzuri tu!
 
Una point ya msingi japo kiuhalisia zaidi ya 98% ya wanafunzi wanamiliki smartphone na/au laptop, kwahiyo inaeza isiwe excuse!!
98℅ Sikweli.

Fanya tena takwimu zako, takwimu ndogo tu katika Group Discussion za wanafunzi kumikumi malanyingi, unakuta Group zima member mmoja tu ndio ana PC wamezidi 3 Group zingine hakuna hata mmoja mwenye PC... Kwenye Smartphone kidogo ndio at least na sio 98℅ ila kwenye PC ni 30℅ ndio wanakuwa na PC na kipindi cha likizo asilimia kubwa wanaziuza.

Tanzania ngumu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana na chuo, Eg kwa wanaosoma SUA hasa masomo ya Science: Practical na Special Project ndo muhimu na zina marks nyingi. Hizo zinahitaji uwepo chuo na supervisor wako anafuatilia kila hatua unayopitia... Kwa hiyo labda ifanyike kwa vyuo vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
98℅ Sikweli.

Fanya tena takwimu zako, takwimu ndogo tu katika Group Discussion za wanafunzi kumikumi malanyingi, unakuta Group zima member mmoja tu ndio ana PC wamezidi 3 Group zingine hakuna hata mmoja mwenye PC... Kwenye Smartphone kidogo ndio at least na sio 98℅ ila kwenye PC ni 30℅ ndio wanakuwa na PC na kipindi cha likizo asilimia kubwa wanaziuza.

Tanzania ngumu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naongelea uzoefu wangu chuoni lakini hata kama hiyo 98 haifiki, je hawawezi kutumia smartphones?

Sasa washapoteza miezi karibu miwili nyumbani, je itafidiwa vipi?

Ni lazima tubadilike hii ni aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemeana na chuo, Eg kwa wanaosoma SUA hasa masomo ya Science: Practical na Special Project ndo muhimu na zina marks nyingi. Hizo zinahitaji uwepo chuo na supervisor wako anafuatilia kila hatua unayopitia... Kwa hiyo labda ifanyike kwa vyuo vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabla hujafanya prac ni lazima ujue theory na kiuhalisia theory ndiyo inachukua muda mwingi!

Je kwann wasingeanza na theory ili prac zikafanyiwe chuoni wakirudi?

Pili, unaongelea special projects lakin kwa uzoefu wangu huwezi ukafanya research kama hujafanya proposal, sasa kwanini wasianze na proposal ambazo sio lazima uwepo physically?

Na unapoongelea research unawaongelea finalists je vipi wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili au watatu (kwa enineering) na mwaka wa nne (kwa vet)?

Nao wanafanya research?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabla hujafanya prac ni lazima ujue theory na kiuhalisia theory ndiyo inachukua muda mwingi!

Je kwann wasingeanza na theory ili prac zikafanyiwe chuoni wakirudi?

Pili, unaongelea special projects lakin kwa uzoefu wangu huwezi ukafanya research kama hujafanya proposal, sasa kwanini wasianze na proposal ambazo sio lazima uwepo physically?

Na unapoongelea research unawaongelea finalists je vipi wanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili au watatu (kwa enineering) na mwaka wa nne (kwa vet)?

Nao wanafanya research?

Sent using Jamii Forums mobile app
Proposal huwa wanafanya Semester ya 5 (kwa Degree ya 3yrs) ya 7 (kwa 4yrs e.g engineering), na ya 9 (5 yrs eg Vet) ambazo tayari wameshafanya semester iliyopita. Kwa sasa walitakiwa kufanya S.P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proposal huwa wanafanya Semester ya 5 (kwa Degree ya 3yrs) ya 7 (kwa 4yrs e.g engineering), na ya 9 (5 yrs eg Vet) ambazo tayari wameshafanya semester iliyopita. Kwa sasa walitakiwa kufanya S.P

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wanafanya SP tu na hawafanyi kozi nyingine? kama wanafanya kozi nyingine kwanini hizo kozi wasifundishe online? na je ni kila SP inataka mwanafunzi awepo chuoni physically?
 
Back
Top Bottom