Ningependa tu kutoa ushauri, kufanya overhaul ni mara mia ununue mswaki ufunge. Mafundi tulionao wanaweza kukushawishi ufanye overhaul lakini tambua engine haiwez kuwa na the same performance+Life span ya engine is shortned.(Hapa unakua kama upo kwenye limp mode,Gari haina uwakika kwa safari...
kuchelewa kuchanganya kuna sababishwa na vitu vingi. Japo mimi nilikutana nayo hyo changamoto,kupanda vilima vya Goba unakua kama unaibembeleza gari,nikahangaika sana baadaye kuna fundi yupo kinondoni akaniambia ishu ni Catalytic convertor imejaa uchafu mwingi sana. Waliisafisha,baada ya hapo...
Hapo ulipo,kama unasoma ujumbe huu...soma kwa sauti,[emoji860]Mbona naambiwa sina akili[emoji3480]..rudia mara mbili kisha lala,utakua umeongeza kitu fulani siku ya leo[emoji196]
MADUDU YA USANGU LOGISTICS-WIZARA YA KAZI MPO WAPI
Utangulizi:
Ndg zangu,hii kampuni ni ya usafirishaji na makao ya ofisi ipo Tabata Matumbi.Wamiliki wa kampuni hii ni waburushi (Mwakabanga) ambao walianza wa tatu, kama madereva wakiwa wanaenda masafa marefu hadi kufikisha magari zaidi ya mia...
Mkuu kila fundi nikimwelezea behavior za hii gari anakimbilia kwenye kufanya complete overhaul. Okay, mkuu naomba kujua symptoms za cylinder head gasket ambayo ina leak au imecrack kabisa. Maana hii yangu kwa macho na old xcul tricks kuangalia kama inarusha maji sioni..
Habari wadau
Nina Rav 4 kilitime yangu 1zz engine nimenotice manually kwa kuangalia kwenye oil dipstick kuwa oil inapungua plus, ukipiga race(acceleration) moshi mweupe unatoka kwenye tailpipe.
Hapa nafikiria kufanya overhaul japo sasa kila nikifanya research na nimpe fundi gani aifanye hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.