Leo kwenye taarifa ya habari nimesikia Mkuu wa nchi amewaandalia hafla na kuwazawadia waliokuwa msitari wa mbele kuokoa kwenye jengo lililoanguka Dar. Binafsi nakubaliana sana na mwandishi wa gazeti la Raia Mwema last week alipoonda sana washauri wa raisi kwa kumshauri aandae sherehe hiyo. nina...
Kiukweli hilo la kufungia radio stations limedhihirisha kwa mara nyingine kwamba serikali haina base ya maamuzi yake. Imeamua kubalancisha tu mambo. Radio imani ilifanya inayotuhumiwa toka mwaka jana. more than 4 months ndio inachukuliwa hatua, wakati Radio neema ni within a month tu rungu...
Great Thinkers naileta hii thread kwenu kama mtizamo wangu.
Jana nilisikia clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast wakimponda sana na kutoa kauli za dharau kwa Mama Ndalichako wa Baraza la mitihani kwa kuonyesha jinsi watoto wengi zaidi walivyoandika madudu na wengine kuchora kina Messi...
Du kama hii imeandikwa African Brain, sasa mbona hii kilazaimeenda kwa wenye akili ikazungumza upuuzi ule. mtaniwia radhi, naleta ukanda (roho inaniuma sana kwamba hii jamaa inatoka Mbeya). sasa Kikwete hapo aliona potential gani hapo mpaka kumteua huyo?
Nimechukua muda mwingi sana kusoma huu uzi na kupitia comments zote, nimegundua kwamba wengi wanakerwa na mambo maovu yanayotokea. lakini hoja ya msingi sio uislamu umefanya kosa au la. hapa hoja ni JE NI SAHIHI KULIPIZA KISASI KWA WASIOHUSIKA KWA KOSA ALILOFANYA MTU MWINGINE?? Si dhani na hamna...
Nimefikia hatua ya kujiuliza hivi ndugu zetu waislamu hawataki wakristo waabudu, au waishi hapa Tanzania? walianzia kuchoma mabucha ya nguruwe kipindi cha Mwinyi, Zanzibar wamechoma makanisa kwa kigezo cha kukataa Muungano, wamechoma clubs zanzibar za wabara ambao ni wakristo, wamefanya vurugu...
Great thinkers, nimeshawishika kuandika maono yangu ili kupata mawazo yenu wadau.
RUSHWA adui wa haki, ni maneno ya Mwalimu na kila mwenye utashi. siku za karibuni viongozi wengi hasa wa CCM waliopo na walioondoka madarakani wanalalamikia rushwa ilivyokithiri ndani ya CCM, Kikwete, Nape...
I like it, watu wamekaa nyumbani mnajifariji kwa kuandika tu kwenye JF. wachukua maamuzi wana vigezo vyao na kama watamtaka ataingia tu CDM. Mbona kwa Millya mliongea sana na akaingia. Great thinkers vipi? cha maana ni kushauri tu kama anaingia asiingie kutaka uongozi. taratibu zitafuatwa na...
Nimegundua kwamba CCM hawataki kuelezwa ukweli. Sitta sio mjinga kuacha vikao anajua wamejaa hao hao tu and will not make any difference. ni bora akaseme hata na watoto wadogo labda watakuwa na akili ya kutafakari kuliko hao wa kwenye vikao halali.
Wabunge wengine hasa vijana wamekuwa wanajitahidi sana kuweka feedback zao kwa wanayoyafanya majimboni mwa. Big up kwa John Mnyika na January Makamba. sasa huyu ndugu yetu Halima Mdee mbona hatuoni uwajibikaji wake. au miaka mitano itamtosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.