Great thinkers, nimeshawishika kuandika maono yangu ili kupata mawazo yenu wadau.
RUSHWA adui wa haki, ni maneno ya Mwalimu na kila mwenye utashi. siku za karibuni viongozi wengi hasa wa CCM waliopo na walioondoka madarakani wanalalamikia rushwa ilivyokithiri ndani ya CCM, Kikwete, Nape, Sitta, Mukama, Sumaye. hao ni watu wazito katika chama ambao tulitegemea kama ingekuwa RUSHWA inawakera wangechukua hatua haraka sana. Lakini kwa maneneo hayo inaonyesha RUSHWA ni sehemu ya CCM. Kiongozi mmoja alisema sera ya kuvuana magamba sio ya chama ni ya Nape tu. maana yake kwenye CCM ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na RUSHWA ni sehemu ya chama.
Hoja yangu ni kwamba, Je, CCM wana dhamira ya dhati kweli ya kupigana na UFISADI na RUSHWA wakati wenyewe ni waumini wa RUSHWA???? na je wataikomboa nchi hii kwenye majanga ya RUSHWA na UFISADI wakati wenyewe ni waumini wa hayo????? kama wanatoa RUSHWA kuingia kwenye NEC, je kupata URAISI au UBUNGE si itakuwa balaa? na hizo pesa zao watazirudisha vipi???? kama sio rasilimali zetu hizi hizi??
nafikiri dawa ni waache watumie rushwa yao weeee kwenye uchaguzi wapigwe chini kwa aibu tuone jinsi watakavyorudisha hela zao.
Nawasilisha mtazamo wangu
RUSHWA adui wa haki, ni maneno ya Mwalimu na kila mwenye utashi. siku za karibuni viongozi wengi hasa wa CCM waliopo na walioondoka madarakani wanalalamikia rushwa ilivyokithiri ndani ya CCM, Kikwete, Nape, Sitta, Mukama, Sumaye. hao ni watu wazito katika chama ambao tulitegemea kama ingekuwa RUSHWA inawakera wangechukua hatua haraka sana. Lakini kwa maneneo hayo inaonyesha RUSHWA ni sehemu ya CCM. Kiongozi mmoja alisema sera ya kuvuana magamba sio ya chama ni ya Nape tu. maana yake kwenye CCM ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na RUSHWA ni sehemu ya chama.
Hoja yangu ni kwamba, Je, CCM wana dhamira ya dhati kweli ya kupigana na UFISADI na RUSHWA wakati wenyewe ni waumini wa RUSHWA???? na je wataikomboa nchi hii kwenye majanga ya RUSHWA na UFISADI wakati wenyewe ni waumini wa hayo????? kama wanatoa RUSHWA kuingia kwenye NEC, je kupata URAISI au UBUNGE si itakuwa balaa? na hizo pesa zao watazirudisha vipi???? kama sio rasilimali zetu hizi hizi??
nafikiri dawa ni waache watumie rushwa yao weeee kwenye uchaguzi wapigwe chini kwa aibu tuone jinsi watakavyorudisha hela zao.
Nawasilisha mtazamo wangu