Makampun y sim bongo ni wez sn na tcra ni wala rushwa tuu, unadhan hawajui wiz unaofanywa na haya makampun, jz nmekopeshwa mda wa maongez n tigo bila hata kurequest, target yao n kuwaungsha kinguvu, pind uwekapo credit wakukate, sooo stupid, hao Voda ndo balaah, GB 1 kuperuz WhatsApp na fb, no...