There is Doubt Kenya is doing well after previous regime. The economy is steadily and slowly improving and this should be something to be celebrated about. as a matter of fact through the 3 months the current president has been in office there has not been heard a single case of corruption...
Naunga mkono mahusiano siku yana dumu mwaka moja na yanakwisha. yapsua vijana wafundishiwe this ya kuwa romantic ata kama ni safari ama holiday ya mahusiana.
Kaka yangu naye katembelea sehemu ya mbuga ya masai mara. kaamu kubugia kila aina nyama hakujua alikula nini laikina daa. Tumbo lilinguruma safari mzima
We do hope a quicker solution will be found and not ping pong stories, The lake nakuru and Kenya at large holiday makers are in jeopardy. Ans this need to be fixed very fast before evrything goes from bad to worse.
Nafikiri hawa watu wa magharibi in wapasa kutafuta suluhisho maluum kwa mzozo wa Russia. Bei ya bidhaa Kenya Tanzania imepanda kupindukia na wanacji wanataabika sana.
Kuna wakati nilikuwa nimmenda Safari katika mbuga ya masai mara na nilikuwa nasikia tuu kuna hotel inayopika game meat, nikaenda kubugia sikujua nilkula nini bali tumbo nguruma acha tu.
Bila shaka Ruto ni kiongozi bora, na tuna tumai ataibuka mshindi kwenye Uchaguzi huu. Kizungu mkuti ni jinsi ya kuchagua mgombea mwenza. Nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wake Amboseli akiuza sera zake na nilipendezwa naye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.