Yeye ndio mbwa tena Jibwa koko lisilo na sehemu wala makazi maalumu,heshima aliekuwa nayo sasa hivi hata awekwe wapii haipo tena anatapatapa tuu,unadhani chama ganii kitakacho mpokea alafuu haaminike tena.
Duuu jamani hili tatizo pia linanisumbua sana sikio langu la kushoto,linapiga kelele nimekwenda hadi Ekenywa Hospital kwa Dr,Bingwa akanitoa nta lkn bado linasumbua,sasa karibia miezi 6 naomba mwenye kujua dawa jamani tusaidiane
Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.
Duuu kweli hapo mkuu wa nchi amechemka yaani unashindwaje kumsikiliza aliekuweka hapo,na pia kama ilikuwa ni kwa sababu anatoa hotuba ni kwanini asimwambie subiri nimalize takuita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.