Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA(Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule Lumumba si mwenyekiti wa CCM Taifa wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule Lumumba si mwenyekiti wa CCM Taifa wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.