Kwanini wanawake huwa mnateseka sana pale sisi vijana wa kiume anapotokea mtu wa kutushika mkono? Kwanini huwa hampendi sisi tubwebwe kiuchumi either na wanaume wenzetu au wanawake wenzenu?
Maada ya mleta maada ni nzuri ila Kuna vitu havijui
Kijana aliyeoa kwa mwinyi hakubalisha dini Bali walifunga ndoa kanisani tena st Joseph na yule binti wa mwinyi hakuwa mwisilam Bali alikuwa mkristo kwa dini ya mama yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.