Recent content by Beira Boy

  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Natafuta Ajira Zemanda
  2. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Fabrizio Romano Atambulisha Jezi za Ligi ya Mabingwa za Yanga

    Rais kijana anajua cha kufanya
  3. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Nasikiaga majini yameumbwa kwa moto kumbe Kuna wanadamu tena walioumbwa kwa moto? Jagina
  4. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nikiwa bongo , kuna nyumbu nilimpa namba zngu humu, akanichoma.

    Mkuu pole sana pole sana ndugu yangu Wewe ni rafiki yangu sana ila pole sana kaka yangu Uwe na aman na uwe salama huko uliko Huenda Kuna siku utajua ukweli wote kuliko unachofanya sasa kubabia huenda flan, huenda flan Bas kwa kuwa uko mzima nashukuru, uhai wa mtu si jambo dogo Ufanikiwe sana
  5. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    Huyu mzee hakika hazimtoshi
  6. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania JS Kabylie ya Algeria yatangaza kumsajili nyota wa Tanzania, Alphonce Mabula

    Piga hela mshikaji wangu mabula
  7. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Mzee wa chai mziki siyo dhambi Dhambi zipo na zinajulikana Usiue Usizini Usiibi Usiseme uongo Usitaman mali ya mtu mwingine Usitaman asiye mkeo Usiabidu miungu nk Chunga akili za mababu wa kiarabu zisiche zikaharibu akili yako
  8. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Kama anasubili kutunzwa na madoni wa tanga ndo ale ni bora tu akarudi kwenye mziki akatafuta riziki yake harali
  9. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

    Lamomy nakutafuta
  10. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Asante Sana mtumish kwa kuniita Ibada inapoanza anacho anza nacho padre huwa siyo mahubiri Bali ni utambulisho wa ibada kuhusu ibada ya siku hiyo inalenga nini? Na masomo pia yanahusu nini na ni kwanini pia tumekutana je MUNGU anasemaje siku hiyo katika maandiko Kuhusu padre kububiri baada ya...
  11. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Wewe huna tofaut na huyu myebusi Moisemusajiografii
Back
Top Bottom