Recent content by Beira Boy

  1. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Mbona leo kacheza vizuri sana au mimi ndo sijui mpira?
  2. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Mkuu Fanya jukwaa la wakubwa riludi bas
  3. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Silaha za Magaidi wa Hezbollah za endelea kukamatwa huko Lebanon!!

    Sawa echolima
  4. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Msudan Uingereza amshambulia mfalme wa Dubai kwa kuua wasudan badala yake akatukanwa matusi ya kibaguzi

    Kwanini Dubai wanafanya hivyo? Kuna faida gani watapata Sudan?
  5. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Wanyonge wa Iran( Waarabu ) hatimaye wapatiwa silaha za kujilinda dhidi ya Iran

    Hahahaa ila echolima bhana
  6. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Msalimie Blanca baba mkwe
  7. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Baba mkwe tumsifu YESU KRISTO
  8. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Huyo kijana hakusilim dini Bali alifunga ndoa ya kikristo kanisan st Joseph posta
  9. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Kwanini wanawake huwa mnateseka sana pale sisi vijana wa kiume anapotokea mtu wa kutushika mkono? Kwanini huwa hampendi sisi tubwebwe kiuchumi either na wanaume wenzetu au wanawake wenzenu?
  10. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Maada ya mleta maada ni nzuri ila Kuna vitu havijui Kijana aliyeoa kwa mwinyi hakubalisha dini Bali walifunga ndoa kanisani tena st Joseph na yule binti wa mwinyi hakuwa mwisilam Bali alikuwa mkristo kwa dini ya mama yake
  11. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Kinachonikera pwani ni wabibi kuolewa na vijana na kumsingizia mtume wao Muhammad kuwa ni sunah
Back
Top Bottom