Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Tumekombolewa kwa mateso makali sana ya mwana wa MUNGU YESU KRISTO ambaye alipitia katika tumbo la mama bikira isaya 7:14 na pia soma isaya 9:6
Mama huyu bikira alizaliwa katika mji wa daudi mnamo miaka 700 toka nabii isaya kuishi alizaliwa...
Ndio mtumish alikufa ila baada ya kufa mwili wake haukuonekana
Ndo maana tunasema alipalizwa
Kwahiyo hakuna kaburi wala mfupa wa mama yetu HANGAYA, nyota ya asubuhi, mama wa mwokozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.