Mkuu pole sana pole sana ndugu yangu
Wewe ni rafiki yangu sana ila pole sana kaka yangu
Uwe na aman na uwe salama huko uliko
Huenda Kuna siku utajua ukweli wote kuliko unachofanya sasa kubabia huenda flan, huenda flan
Bas kwa kuwa uko mzima nashukuru, uhai wa mtu si jambo dogo
Ufanikiwe sana
Mzee wa chai mziki siyo dhambi
Dhambi zipo na zinajulikana
Usiue
Usizini
Usiibi
Usiseme uongo
Usitaman mali ya mtu mwingine
Usitaman asiye mkeo
Usiabidu miungu nk
Chunga akili za mababu wa kiarabu zisiche zikaharibu akili yako
Asante Sana mtumish kwa kuniita
Ibada inapoanza anacho anza nacho padre huwa siyo mahubiri Bali ni utambulisho wa ibada kuhusu ibada ya siku hiyo inalenga nini? Na masomo pia yanahusu nini na ni kwanini pia tumekutana je MUNGU anasemaje siku hiyo katika maandiko
Kuhusu padre kububiri baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.