Maandamano ya Julai 7 yameutishwa na nani? Yanaongozwa na nani? Agenda yake ni nini? Yatafanyika kwa utaratibu upi? Yataanzia wapi? Yametolewa Taarifa kwa mamlaka?
Bila hayo, hakuna maandamano Bali Kuna VURUGU. Ni wajibu wa vyombo vya Dola kushughulikia waleta vurugu.
Sabaya hadi sasa ameshakula moja bila. Kitendo cha kiongozi wa umma kama yeye kutuhumiwa tu kwa maovu kama haya kimaadili kinatosha kusema hafai tena kuwa kiongozi
Hiyo inaitwa partial testament. Hizo alizoorodhesha atathibitishwa msimamizi (executor) aliyeteuliwa na marehemu, hizo mali ambazo hakuorodheshwa msimamizi wake (administrator) atateuliwa na mahakama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.