Recent content by BEHOLD

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wachina. Dhambi...

    When the going gets tough...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Chemshabongo

    C
  3. B

    JamiiForums Tanzania Fahamu utabiri na utata uliomzunguka TB Joshua

    Mleta mada uwe unakumbuka kukiri chanzo cha habari yako.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Humphrey Polepole?

    Polepole dhamiri inamsuta hivi sasa. Hakuwa na akiba ya maneno
  5. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

    Sabaya hadi sasa ameshakula moja bila. Kitendo cha kiongozi wa umma kama yeye kutuhumiwa tu kwa maovu kama haya kimaadili kinatosha kusema hafai tena kuwa kiongozi
  6. B

    JamiiForums Tanzania Haya matunda ya mvuti huwa yanajiotea porini, kumbe yanauzwa ghali

    Hii kitu kwa nguvu za kiume, pweza na vimbi tupa kule
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ukiegesha gari vibaya, faini kwa gari ndogo ni Tsh 200,000 na Tsh 10,000 ni gharama ya gari kulala yard kwa siku moja

    Waweja ngosha. Naona unajaribu kutakatisha jina la mtu!
  8. B

    JamiiForums Tanzania Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

    Hivi Marehemu alikuwa hajui au haambiwi ushenzi wa Sabaya?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

    Ndiye alikuwa kipenzi cha JPM!... Kweli MUNGU hali chumvi.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mhandisi Herbert Kijazi wa RUWASA atimuliwa kazini kwa kusababisha hasara ya Tsh. Milioni 609

    Mleta mada unamjua Herbeth ni nani? Au umedemshwa na jina Kijazi?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Wafuasi wa CHADEMA wamtelekeza Lissu sasa waamua kuwa "chawa" wa Manji

    Menopause zingine, zinakujaga vibaya!
  12. B

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu suala la mirathi

    Hiyo inaitwa partial testament. Hizo alizoorodhesha atathibitishwa msimamizi (executor) aliyeteuliwa na marehemu, hizo mali ambazo hakuorodheshwa msimamizi wake (administrator) atateuliwa na mahakama
  13. B

    JamiiForums Tanzania Dkt. Philip Mpango: Narudi kuchapa kazi, Mungu amenivusha. Leo siku ya 3 sijatumia mtungi wa Oxygen

    Huyu waziri atakuwa amemkosea sana Mkuu wake. Angekaa tu Mungu amponye. ANGALIZO: "tusimjaribu Mungu" Askofu Ruwaichi.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kwa haya madudu anayovumbua Waziri Silinde huko TAMISEMI ni kama vile Jafo hakuwepo Mitano iliyokwisha!

    Hiyo ni ndogo. Ngoja utakuja kuyasikia madudu ya jiwe siku akitoka. Usishangae katiba ikaja kurekebishwa ili ashiuakiwe.
Back
Top Bottom