Haya matunda ya mvuti huwa yanajiotea porini, kumbe yanauzwa ghali

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
1622799099912.png
 
Vipi kuhusu Matunda ya Mchamzi na Msongora... nadhani Mivinje ndio mti usio na Matunda
 
Niko nayo kwa shamba ni vitunda flani vinafaa sana ukiwa umetulia umejaa mahaba tu ndipo utauhisi utamu wake, vinginevyo utakuwa unaviaibisha tu
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Back
Top Bottom