First year wa Udom mnapaswa kufurahi kuchaguliwa chuo na hongera ila mkasome sana watu wanadisco sana bora hata SUA kwetu shule ni ngumu ila tunaajikongoja
Mutoa mada hii umechanganyikiwa si kidogo unataka waoneshe habari kama TBC wanavyoibeba ccm, waambie ccm mwaka wakalime waone uchungu wa ukulima na Graduates wa watoto maskini wanao lia mitaani bila ajira.
Lowassa kuhamia Chadema ukawa wamezingatia vigezo vyote maana mgombea was ukawa kukabiliana na Dr. Magufuli ingekuwa ngumu kwa ukawa na hii inaonesha viongozi wa ukawa hawana uroho wa Madaraka ila wanania ya kubadilisha system nzima ya utawala!!!
Chadema hawawezi kukurupuka kiasi hicho wakioyafanya ni sahihi ccm walimwaga mboga wenyewe sasa ngoja Lowassa amwage ugali na kutoboa masufuria ya kupikia ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.