Nape aungwe mkono na kila mtanzania mzalendo, sisi vijana wa ccm arusha tunakuunga mkono pamoja na kwamba inaonekana arusha ni kambi ya fisadi fulani but nakuhakikishia walio wengi ni viongozi na ni coz wanalipwa,.
Namshukuru Mungu aliyempa fikra Bwana Augustino Ramadhani kuchukua fomu ya kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi, napenda kuiomba CC ya CCM kama njia ya ushawishi wangu na kwa niaba ya watanzania walio wengi kwamba jina la jaji...
Mheshimiwa alisema kwamba alikua na makubaliano na mwenzake yaani Dk Jakaya Kikwete kwamba yeyote kati yao atakaye pitishwa kwenye nafasi ya uraisi kwa tiketi ya CCM basi atakapomaliza miongo miwili basi atamkabidhi mwenzake, kwa hiyo kwa sasa yeye ndiye anayestahili kupokea kijiti hicho na kwa...
Augostino ramadhani pamwe naye Salim Ahmed Salim hawa bilashaka kabisa wana weza kusimama ulingoni kisiasa wakamudu mnyukano na wapinzani na sii hivyo tu bali CV zao hazina vumbi kabisa kikazi na hata baada ya kustaafu
.
Kwanini chadema wanacheza na amani, Kwanini hawasubiri ulingoni mwakani?wameingiwa na mashaka gani kuhusu uchaguzi wa mwakani, na ni Kwanini serikali inasuasua kuchukua hatua kali dhidi ya viongozi hawa,lawama kubwa itaiendea serikali kama itawaacha wafanye watakavyo.
Ccm ina watu wengi sana wenye uwezo wa urais,but kila tunapowapima ili kumpata mmbora wao pinda anaibuka kidedea,hatumpendi panda kama pinda coz sio ndugu yetu wala rafiki lakini tunachokipenda ni uwezo wake wa uongozi basi sii vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.