BEDECCA- IN TANZANIA.
Busokelo Education Development for Child and Counseling Association in Tanzania.
Katika semina hii iliyofanyika kuanzia tarehe 22/08/2017 hadi tarehe 24/08/2017 tumeweza kuelimisha na kuhamasisha wanafunzi wa shule za msingi zote katika kata ya Kandete ambazo ni...
Mnamo tarehe 20/01/2017, siku ya ijumaa kuna wanafunzi wa nne(4) wa shule ya sekondari Mwakaleli walitoroka kwenda sehemu isiyojulikana.Sababu zilizopelekea ni pamoja na kufeli mtihani wa upimaji wa kidato cha pili wakati wengine wakijihusisha na masuala ya mapenzi na kukutwa katika vyumba vya...
Ndg wapendwa, Uongozi wa BEDECCA umepanga mkutano wa kuelimisha jamii umuhimu wa Elimu, athari za utoro mashuleni kwa watoto, pia na athari za mimba katika umri mdogo.
Mkutano huo utafanyika katika mkoa wa Mbeya, halmashauri ya wilaya ya Busokelo, kata ya Kandete katika kijiji cha Mwela...
Kiji cha Mwela, kitongoji cha Kisiba kina wanafunzi kumi (10) tu wanaosoma katika shule za sekondari, uongozi wa BEDECCA umefanya utafiti na kujua sababu inayopelekea kitongoji hicho kuwa na wanafunzi wachache ni suala la UTORO, wengi wao huwa wanaachia njiani.
Suala hilo limekithiri sana...
BEDECCA is an NGOs which deals with educating and counseling societies about the negative effects of absenteeism, and the importance of education to children.
Some of communities do not know the importance of education hence, they need to be educated and to make them to know the effects of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.