Hapo brother huwa kuna mlolongo mrefu sana, hata mimi nikiagiza mzigo sehemu ambayo inachukua mda mrefu ni hapo.
Nakushauri Subiri na utatoka ila kama ukiona mzigo umevuka muda wa delivery date hapo jua kuna shida
Naunga mkono, binafsi kabla ya kununua gari niliwaza kwanza jinsi gani gari litakuwa msaada kwangu kwenye kupunguza mda
Na kwa kweli linanisaidia sana.
Sijawahi kuwaza kuvutia mademu wala kumfurahisha mtu.
Hapana brother nipo naishi na toyota hilux 2.8D LN166.
Ni unyama mwingi hakuna changamoto yoyote nishapiga safari Arusha - dodoma tatu,
Na Dar es salaam to dodoma moja, haijawahi nisumbua hata kidogo.
Alafu ni no. AF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.