Recent content by becknature

  1. becknature

    JamiiForums Tanzania Magari ya Japan (Japanese used cars) za kununua 2026!

    Ahaha hilo nalo neno, ila ninavyowaona wana furahia tu Maisha.
  2. becknature

    JamiiForums Tanzania Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Habari members naomba kufahamu workshop wanazofunga yale maturubai yanayofungwa nyuma kwenye pickup body ili kuzuia vumbi na maji. Location : dodoma
  3. becknature

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Nauza shamba bagamoyo bei 4.5M

    Unaruhusu installment kwa mda gani?
  4. becknature

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Unaweka vituo tu, labda kama unawahi mahali.
  5. becknature

    JamiiForums Tanzania Magari ya Japan (Japanese used cars) za kununua 2026!

    Kuna baadhi ya member naona wanamiliki haya magari, utakuta ni namba B au A au C na chuma zimenyooka na hawazi kuuza.
  6. becknature

    JamiiForums Tanzania Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Others tunaenjoy tu kwenye 80-100km/hr, japo tunaendesha Old cars. cha msingi umefika sehumu unabeba kambale, umefika magugu unacheki manzari na kuchukua mchele kidogo, babati unasalimia jamaa na marafiki.
  7. becknature

    JamiiForums Tanzania Mnaoisifia IST msisahau Vitz New Model

    Kwani hizo IST na vits town trip zinatembea km /lt?
  8. becknature

    JamiiForums Tanzania Fahamu kwanini gari zinazotumia Diesel zinadumu kwa muda mrefu zaidi tofauti na za Petrol

    Sijui kwanini ila nilinunua pickup ln166 engine 3l, mileage 300k plus ila nilipiga nayo safari vizuri sana.
  9. becknature

    JamiiForums Tanzania Toyota vitz 2011 inakula sana mafuta

    Nafikiri si kawaida. Nina carina ti 1490cc Safari za mjini napata 10-11km/ltr.
  10. becknature

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la kusahau (kupoteza kumbukumbu)

    Kasome kitu kinaitwa ADHD Mimi pia nina tatizo hilo la kusahau mapema,ila naona limekaa kisaikolojia sana.
Back
Top Bottom