Recent content by becknature

  1. becknature

    Mnaoisifia IST msisahau Vitz New Model

    Kwani hizo IST na vits town trip zinatembea km /lt?
  2. becknature

    Fahamu kwanini gari zinazotumia Diesel zinadumu kwa muda mrefu zaidi tofauti na za Petrol

    Sijui kwanini ila nilinunua pickup ln166 engine 3l, mileage 300k plus ila nilipiga nayo safari vizuri sana.
  3. becknature

    Toyota vitz 2011 inakula sana mafuta

    Nafikiri si kawaida. Nina carina ti 1490cc Safari za mjini napata 10-11km/ltr.
  4. becknature

    Nina tatizo la kusahau (kupoteza kumbukumbu)

    Kasome kitu kinaitwa ADHD Mimi pia nina tatizo hilo la kusahau mapema,ila naona limekaa kisaikolojia sana.
  5. becknature

    Simu niliyoagiza China kupitia AliExpress, naona imekwama kunifikia

    Hapo brother huwa kuna mlolongo mrefu sana, hata mimi nikiagiza mzigo sehemu ambayo inachukua mda mrefu ni hapo. Nakushauri Subiri na utatoka ila kama ukiona mzigo umevuka muda wa delivery date hapo jua kuna shida
  6. becknature

    Ipi kampuni nzuri ya kusafirisha mizigo kutoka Thailand kuja Tanzania kwa njia ya meli?

    Utupe na sisi connection. Vp kuhusu gharama za bidhaa zao na ubora?
  7. becknature

    Mzee wa Dungu Jeshi katinga bongo na bodyguards

    Aisee shukrani kwa ushauri.
  8. becknature

    Naomba ushauri

    Pole sana, nafikiri tu ulipata gari inachangamoto toka awali, kumbe QD32 nazo ziko vizuri?
  9. becknature

    Nunua gari Ndugu yangu. Aibu ndogo ndogo zinaepukika

    Naunga mkono, binafsi kabla ya kununua gari niliwaza kwanza jinsi gani gari litakuwa msaada kwangu kwenye kupunguza mda Na kwa kweli linanisaidia sana. Sijawahi kuwaza kuvutia mademu wala kumfurahisha mtu.
  10. becknature

    Kumiliki gari ni matatizo matupu

    Hiyo terrios kid inatembea km/lt kwa safari fupi fupi?
  11. becknature

    Naomba ushauri

    Hapana brother nipo naishi na toyota hilux 2.8D LN166. Ni unyama mwingi hakuna changamoto yoyote nishapiga safari Arusha - dodoma tatu, Na Dar es salaam to dodoma moja, haijawahi nisumbua hata kidogo. Alafu ni no. AF.
Back
Top Bottom