Recent content by becknature

  1. becknature

    Unavyotafuta gari ya kununua, RANGI uwa unaipa kipaumbele au kanyaga twende?

    Engine nzuri ukiachana na beams 200, 5A zingine ni zipi?
  2. becknature

    Unavyotafuta gari ya kununua, RANGI uwa unaipa kipaumbele au kanyaga twende?

    Nimefaidika sana kwenye haya maelezo, Nitajatibu kua nayo hata at least siku nzima. No. Ya chasis ya gari inawekwa kwenye chasis au?
  3. becknature

    Unavyotafuta gari ya kununua, RANGI uwa unaipa kipaumbele au kanyaga twende?

    Japo sina gari ila ndio nalitafuta, ila huwezi amini sijapay attention na rangi kwenye gari zote nimeletewa. Mimi ni engine na body tu.
  4. becknature

    Mark 2 Grande Gx 110 aka Jini Mkata Kamba

    Mkuu vp kwa safari za town inaenda km ngapi kwa ltre?
  5. becknature

    Ushauri wa ulaji wa mafuta wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000

    Naskia hizi gari za mark ii ni six inline cylinder vp matumizi ya mafuta kwa litre moja kwa uzoefu wako?
  6. becknature

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Tuendelee kutoa shuhuda uzi mzuri sana..
  7. becknature

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Kazi unayo huchepuki Sema kiimami uko na mtu mzuri sana.
  8. becknature

    Mazda Axela anauliza: Kwanini Hamnioni?

    Anakuja wapi wakati hizo gari ni toleo la 2018 kushuka?
  9. becknature

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Jaribu kutudadavulia kwanini unaona wana moyo wa kuchapa kazi ni kitu kinawamotivate? Je uzalendo halisi au maslahi yako vizuri?
Back
Top Bottom