Nafikiri hii ni vita ya kiuchumi tu, Rwanda ni muhasimu wetu, huenda ikawa amefanya hvyo ila kuvipromote vinywaji vya nchi yake.
Naamini angekuwa sahihi kwa kutueleza scientifically kwa jinsi gani vinywaji vyetu sio vizuri.
Au pia huenda yeye mwenye alishindwa kuzuia uingizwaji wa vinywaji fake...
Unakosew kusema hivyo, kwanza kwanini wewe uende umuambie wakala unataka kutoa kwa lipa namba?
Vile wakala anataka kupata faida kutokana na pesa yake anayokupa, ila hayo yote ni kutokana na nyinyi wateja kuhitaji hivyo.
Nafikiri ilibidi umshauri kuna mambo ambayo si ya lazima kufanya unapoanza hiyo biashara, nimekulia kwenye hyo biashara wazazi wangu waliendesha vizuri mpaka ikaja kua ya jumla.
Brother hyo biashara simamia mwenyewe uchumi wa kiwango cha juu unahitajika hakikisha unapata bei toka kwa masupplier...
Unajua unaposema kumuandaa, kuna muda tutawapa wazee wetu lawama kwasababu utakuta kama yeye alianza from scratch kajifunza mpaka kaimasta vizuri.
Nafikiri kama mtoto anajua umuhimu kuendeleza alichoachiwa na wazazi anaweza kuanza kujifunza vizuri.
Kuna watoto wanaandaliwa na bado shida iko...
Sawa lakini kumbuka ng'ombe hatoi maziwa throughout the year ila bajaji inaweza. Vile bajaji ukinunua bajaji hapo inaanza kufanya kazi ila ng'ombe mpaka azae.
niliwahi kuwa na same amount, nikasema niifanyaje nikaamua kuanza kibiashara cha wakala wa mitandao ya fedha, kuacha gharama za kutengeneza kibanda na kupata leseni za niashara nilianza na mtaji wa 2.5m hivyo hivyo kwa kubangaiza ndani ya mwaka kamtaji kakawa 5m na hapo ilikuwa ni mitandao ya...
Kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake, wewe kama kamba yako inakuruhusu kupata hayo mahitaji yako usitufokee sisi pata sote.
Alafu mwanaume kujisifia unaendesha gari nzuri mbele ya wanaume wenzako si kitu kizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.