Aiseeee mm ni mmojawapo ambaye nilitumiwa pesa shilingi 2000 kwa tigopesa baada ya kuingia hiyo pesa ilionesha jina la AZIZ then namba ya simu pesa ilipotoka ndo nikachukua ile namba nikamuuliza akasema amekosea kuituma ndo nikachukua jukumu la kumrudishia coz huwezi jua labda alikuwa anamtumia...
Natafuta kazi ndugu zangu wanajf nipo dar elimu yangu kidato cha nne naomba msaada wa kuweza kunisaidia kama supermarket.duka.nappia nina uzoefu wa kazi za research 0682051729
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.