Wadanganye Watutsi wenzio hapa umegonga mwamba.Watanzania hatuko Mambulula kiasi ch kushindwa kuchambua taarifa.Mjulishe Rais wako damu alizomwaga zitaendelea kumtafuna na hata siku moja hamtaheshimika kama wahutu.
Na ubaguzi wenu utaendelea kuwahukumu.
Wadau nimefurahishwa na jinsi ,Mapokezi ya Obama yalivyofanyika pamoja na maandalizi ya ujio wake.Je ni kitu gani tunajifunza kutoka katika serikali yetu.
-Kwamba jiji letu linaweza kuwa safi kama serikali itaamua.
-Hatuthamini afya zetu mpk wageni watutembelee ndo tusafishe.
Mengine ni yapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.