natumaini mu wazima ndugu zangu watanzania jana nimepata kuonana na daktari bingwa wa afya za watoto nilikuwa nimepleleka mwanangu alikuwa anasumburiwa na masikio na mafua,sasa baada ya kuandikiwa dawa nkamuomba ushauri daktari kuhusu chanjo ya corona.
daktari akasema maamuzi ya kuchanja ni...
yani leo hii mheshimiwa ndio wakisema maneno haya umesahau tulivyoishinda corona kwa maono ya rais magufuli tukautumia mizizi yetu na majani yetu kupona kweli watu ni wasahaulifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.