Recent content by Beberu10

  1. B

    Ni nani alimshauri Mourinho kumnunua Lukaku Man Utd?

    Kwa nini usiandike kiswahili tu
  2. B

    Wachezaji watatu bora kuwahi kucheza Yanga SC

    Mwalusako Beberu 10 Original
  3. B

    Wachezaji watatu bora kuwahi kucheza Yanga SC

    Issa Athuman China Beberu 10 Original
  4. B

    Hivi BOT na TCRA wako wapi hizi riba za mikopo ya Tigo na Airtel?

    Kama wewe ni mfanyabiashara, tena wa jati au mkubwa, it makes sense, lakini kama ni mfanyakazi, mwalimu kama mimi, ninayetegemea kulipa kwa kutumia mshahara hizi riba ni kubwa sana wajameni
  5. B

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Hiyo basi ya kigali unaweza vuta mnyarwandwa humo
  6. B

    Hivi BOT na TCRA wako wapi hizi riba za mikopo ya Tigo na Airtel?

    Wanajukwaa habari, nimekuwa nikijiuliza, hizi taasisi za serikali mbona ziko kimya sana, wakati.ndizo.zenye jukumu la kumlinda mlaji wa mikopo hii ya kwenye simu kutoka tigo na airtel ambao kiukweli wanamwibia mteja. Tigo ukikopa shilingi 120,000/= kwa siku 21 unatakiwa urudishe shilingi...
  7. B

    Katazo la Rais Magufuli: Msomi aeleza jinsi alivyopata mimba akiwa shuleni na alivyofanikiwa

    Mm naona hii ni fursa kwa shule za private kupata wanafunzi
  8. B

    Katazo la Rais Magufuli: Msomi aeleza jinsi alivyopata mimba akiwa shuleni na alivyofanikiwa

    Kasoma Cambridge, private. Watu tumuelewe rais watu, hataki wasome kwenye shule za serikali, lakini hana shida wakienda private
  9. B

    Lijuakali: Ndege moja tayari hairuki ni mbovu sababu ya one man show

    Let be serious, watz tunataka kuendesha ndege kama tunavyiendesha magati ywtu used, haiwezekani. Hata gari kila kifa kina mileage ya kuwa kwenye gari, sasa ndege mnataka iruke tu mpaka lini, tuwe na subira na kuheshimu taaluma za watu, ingekuwa grounded kwa kufa hapo sawa, ipo grounded kwa...
Back
Top Bottom