Lakini uko ni kukandamiza democrasia!haiwezekani kiongizi mkubwa kama lisu akamatwe bila wahusika kutoa taarifa!inamaanisha kuna watu wanailinda serikali isikosolewe kabisa!jamani polisi mjifunze kwamba mkishamkamata kiongizi kama lisu mtoe taarifa kwa wananchi msifanye kwa siri mtaamsha ghazabu...
Namuomba mkuu wa jeshi la polisi amulike polisi arusha maeneo ya USA River maana wananyanyasa wananchi!trafiki wa USA wananyanyasa wenye magari kwa kuwabambikia makosa kibabe na ukikataa kulipa wanakupiga na kukusweka rumande!mmi nlishudia walivyomzalilisha dereva wa coster zinazoenda moshi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.