Trafiki arusha wamekuwa kero kwa wananchi!haswa walioko pale USA

beberu beberu

Member
Dec 21, 2016
9
4
Namuomba mkuu wa jeshi la polisi amulike polisi arusha maeneo ya USA River maana wananyanyasa wananchi!trafiki wa USA wananyanyasa wenye magari kwa kuwabambikia makosa kibabe na ukikataa kulipa wanakupiga na kukusweka rumande!mmi nlishudia walivyomzalilisha dereva wa coster zinazoenda moshi!
 
Back
Top Bottom