Natumai humu ndani wote ni wazima wa Afya.
Kwa mara nyingine Tena nakuja kwenye jukwaa hili kuomba nafasi yoyote ya kazi ambayo itakuwa halali.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, Elimu yangu nina Bachelor of Arts in Sociology,ambayo nimehitimu mwaka Jana.
Uzoefu wa kazi.
nilipohitimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.