Recent content by beauty for real

  1. B

    Hakatwi Anakatwa ilivyo athiri Ibada za wasabato leo

    Hahaha....hata kinondoni pia ilikuwa hvyo
  2. B

    Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    Hahahaaa...akisimamishwa mwigulu nchema kugombea urais bas mm nitaona kwel tanzania imeishaaaaa
  3. B

    Natangaza 'kumdharau' January Makamba rasmi!

    Nimesikitika sana kwa huu uzi...pole sana mkuu....mpuuz huyuuuu...hajiheshimu huyuuuuuu.....yuyuyuyuyuyuyuyu
  4. B

    Kingunge akerwa, akemea yanayoendelea ndani ya CCM

    Za mwizi arobain...acha hicho chama kife
  5. B

    Mrejesho wageni kutoka Kijijini: Sabasaba yangu imevurugika

    nashukuru sana mkuu kwa ushaur mzuri....nitafanya linalowezekana
  6. B

    Mrejesho wageni kutoka Kijijini: Sabasaba yangu imevurugika

    hao wa kwanza walikuja kwenye msiba shangazi yetu aliyefariki...lkn naona wamelowea. Hili kundi la pili linasema limekuja kusalimia msiba
  7. B

    Mrejesho wageni kutoka Kijijini: Sabasaba yangu imevurugika

    subir yakukute mkuu alafu uje ulete uzi humu ndani....
  8. B

    Mrejesho wageni kutoka Kijijini: Sabasaba yangu imevurugika

    Wewe unaesema nalipwa hayajakukuta...kama hauna nia ya kunishauri pita tu...lkn co kinikebehi. Nitunge habar kwa nn. Jaribu kuwa mstaharabu pia jiheshimu. Au ushazoea stread za mapenz tu ndio za kwel. Jiheshimu
  9. B

    Mrejesho wageni kutoka Kijijini: Sabasaba yangu imevurugika

    Habari zenu wakuu, Naandika habari hii nikiwa na masikitiko makuu. Kuna wageni kama saba hivi wamekuja home kutokea kijijini tangu mwaka jana mwezi wa kwanza. Lakini katika hali ya kushangaza wamekuja tena wawili kutoka hukohuko kijijini, safari hii wamekuja bila taarifa kwa wahusika. Kumbe...
  10. B

    Wa Kijijini usiende mjini kwa nduguyo bila sababu yenye faida, mnatesa watu

    Ss jana mtu wa maziwa hakutuletea...datz why tukapika chai ya kawaida...hawa wagen wetu kutoka bush hawakuinywa na isitoshe wametukasilikia nyumba nzima. Ucku tulipika chapat na nyama lkn wao walikula chapati saba kila mmoja. Yan hawa jamaa kutoka kijijin ni tatizo. Na kama haitoshi wamemuita...
  11. B

    Wa Kijijini usiende mjini kwa nduguyo bila sababu yenye faida, mnatesa watu

    Au kiboko yao ni viaz na mihogo..ukiwapa vitumbua au maandaz utapata hasara. Alafu wanataka chai asubuh na jion...kiukwel watu wa kijijin ni tatizo. Mchana ukipika tambi au chakula chochote chepesi hawataki. Yaan wanataka ugali wa muhogo na nyama au samaki.
  12. B

    Wazazi wa mke wangu wamehamia kwangu kabisa, nyumbani hakukaliki

    Ushauri wa bure; mkuu watumie nauli wazazi wako na dada zako nao waje kuishi hapo tuone sasa hilo movie litaitwaje, wazaz wa mwanamke si wanajidai wabandidu kama hiyo nyumba wameijenga wao!!!
Back
Top Bottom