Recent content by beatricemichael

  1. B

    Ndoto ya Mzee Mtei yafifia na kutoweka kabisa

    Mtoa post umekunywa Viroba nn maana naona unaongea kama bata Hahahaaa
  2. B

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    0782 911 515 namba hiyo ya mtumishi kilawa
  3. B

    Magufuli asema Sheria haina CCM, CHADEMA wala CUF

    Wataelewa tuu mwaka huu People's.....
  4. B

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Tunataka mabadiliko whether they will bring positive result or not.Ukizidiwa na kiu unaweza hata kunywa mkojo wako mweyewe.They have failed for 50+ yrs.We want changes..... Kweli kbs mkuu umenena
  5. B

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    ni kwanini kila move ya Lowasa inawafanya CCM wanapanic hivi?? Kifo chao kimekaribia
  6. B

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Sasa ubunifu gani!! Mbona kawaidatu Kama kawaida mbona CCM wameiga na wao wanafanya kongamano na wanawake jumamos hii
  7. B

    Tanzania yang'ara kwa Amani! Ya kwanza East Africa...

    Huwa humsikilizi mbowe jauli zake Ila Nape ndio anaongea point? Bora Mbowe ana busara sio huyo Nape
  8. B

    CHADEMA yasambaratika Sengerema

    Tulia kijana mbona bado mapema,utakubali tu kulala bila boxa Hahahaaa
  9. B

    Mke wa Sumaye kunyang'anywa ekari kubwa za mashamba Kibaha

    Tanzania ukiwa mpinzani tabu tupi CCM ni Nkurunzinza
  10. B

    Mke wa Sumaye kunyang'anywa ekari kubwa za mashamba Kibaha

    Mke wa aliyekuwa waziri mkuu wa awamu ya tatu mh. Sumaye ananyang'anywa ekari nyingi anazomiliki huko Misufini Kibaha. Source : Nipashe. Walikuwa wapi siku zote baada ya kuhama ndio wamnyang'anye wanatia aibu sana CCM
  11. B

    Kanda ya Ziwa ni Lowassa

    Dr.john pombe magufuli kazi kubwa aliyoifanya ndani ya miaka kumi ni kuchoma nyumba za walalahoi (mazoba)(wapumbavu) na kuwabomolea nyumba zao hata bila kuwapa fidia,yeye ndie aliyesababisha wakazi wa kanda ya ziwa kukosa samaki kwa kuchoma makokoro(nyavu) na kuwakamata wavuvi wadogowadogo bila...
  12. B

    Polisi wazuia ziara ya Edward Lowassa, Kariakoo. Wapiga marufuku mgombea kupanda daladala

    Usipojifungua mwaka huuu basi unaachika Hahahaaa umenikosha
  13. B

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    magufuri akipita kwetu tunamwuitia mwizi na kumpopoa mawe? alikuwa analala Mabibo hostel kwa hawara Duh aibu sana hiyo mkuu
  14. B

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    acha ulofa,huyo huruma nani ? Hahaaaa
Back
Top Bottom