hUYU JAMAA NI MBABE ALIYEJIFICHA.bOMOA BOMOA YOTE YEYE NDIE CHANZO.
hUYU JAMAA NI MBABE ALIYEJIFICHA.bOMOA BOMOA YOTE YEYE NDIE CHANZO.
Kwa sasa tunahitaji rais dictator. Watu wengi wanapuuza sheria na miongozo makusudi. Nidhamu na uadilifu kwa watumishi wa umma ni zero. Tingatinga anza kazi mara moja!!!
Jana sikuaminia alichosema ,eti kwa nini mapato ya faini ya malori yanayozidisha uzito mizani mkoani iringa ni hafifu?na kutaka uchunguzi ufanyike,INA MAANA MIZANI NI MRADI WA SERIKALI KUWAKOMOA WANANCHI?BADALA ASHUKURU KUWA WENYE MALORI HAWAZIDISHI UZITO YEYE ANATAKA MAPATO