Hyo ni unfair termination sbb alikua anapaswa kupata barua na iwe imeandika sbb ya kusitisha mkataba.so first stage inabidi awe na mwanasheria.sbb the only place anweza kupata haki zake ni CMA yn court of arbitration and mediation.hyo ni mahakama inayodeal na haki na mwajili na mwajiliwa.lakn...
Kwa ushauri mm nilikua naona bora ukae kimya maana happ msaada uende CMA yaani court of mediation and arbitration.na huko unaweza kupoteza muda wako na hela pia maana unaweza usipatr haki yako pia kama rushwa itatembea.ila ukitaka msaada zaidi nenda CMA
Na wosia utakua batili kama,kuna wosia zaidi ya mmoja so wataangalia tarehe yn whch one is current,thn kama haujasainiwa, na vitu vingne ila hayo ndo makubwa nayokumbuka
Utabaki halali sababu wosia hata siku moja hauwezi kubadilishwa...u can not challenge nor change a will.So kama umeandika asipewe ni hapewi kitu hata kimoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.