Recent content by beast

  1. B

    Wanachama zaidi ya 600 na viongozi wa CHADEMA Vunjo wahamia CCM

    Fisiem ni xhidaaaa wanajiongopea
  2. B

    UKAWA waitisha kikao cha dharura

    Ukawa iko imara nyie ccm wajinga kweli mnaenda mnunua katibu na m/kiti mna akili kweli?? Kuna msemo mmoja kwe bibilia unasema piga mchungaji na kondoo watatawanyika, nyie mnapiga kondoo badala ya mchungi c mchungi atawarudisha tu???? Akili za magamba bwana
  3. B

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Dr anajidai yy ni mtu anayechukia mafisadi iweje awe na urafiki na dr mwakyembe ambaye ni fisadi wa mabehewa mabovu ya tren???
  4. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Namba 075763953 mm ni mwl niko manispaa tabora idara ya sekondari nataka kubadilishana na mwl yeyote idara ya sekondar aliyeko mkoa wa morogoro, dares salaam au arusha
  5. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mm mwl idara sekondori manispaa ya tabora naomba kubadilisha ns mwl yeyote aliye mkoa wa morogoro, dares salaam, au arusha
  6. B

    Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

    Kama kuna kaukweli ndani yake vile
  7. B

    Napenda kumtahadharisha mh. Rais kikwete

    Huyo mwali atamficha tu na hatomtoa nje na shughuli ataiona
  8. B

    Lowassa ameteka media huku Magufuli akiteka raia

    We umeona ile video mmama anapita amepiga dira la ccm kariako na kuzomewa??? Ndo ujiulize kuwa magufuli anakubaliwa au laa??(
  9. B

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Tatizo cyo sauti tatizo lake ni video na style za uchezaji, akiboresha hivyo atang'aa xana
  10. B

    Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

    Dah hatari sana watakoma
Back
Top Bottom