Kuna familia ya jamaa yangu wa karibu sana imewahi kutokea nikashirikishwa mawazo ili kutafta namna ya kutatua hiyo changamoto.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Unachomaanisha kilikuwepo kwa utaratibu na cyo kwa jamii yote, alaf pia mila haina nafasi kubwa kuliko Imani ya kiroho ya Mungu ndo maana tukirudi kwenye vitabu vinatueleza vema kabisa.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Dahl! Inakuwa changamoto sana kuishi nalo hili maana hiyo safari haitakuwa na amani ndani ya nyumba binafs lakini.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.