Recent content by BBen2

  1. B

    Kwanini Mandela hakumsamehe mkewe Winnie?

    Ametusaidia sisi ambao hatulisoma gazeti hilo,
  2. B

    Kwa wale waliowahi kutoa mahari halafu wakatamani/wakaingia mitini

    Usipo kuwa makini huyu mwanamke atakuja kukutawala, mchunjie baharini,
  3. B

    Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

    Huyu jamaa anaongea kama amekatika kichwa, nyegezi ni sehemu gani kuna mashimo? Acha kudanganya umma,
  4. B

    Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

    Matokeo yake nilimpa lakini akanigeuzia kibao Mimi sitaki tena vitambaa nataka pesa, nikamuuliza shilling ngapi akadai elfu kumi na tano, nikampa nikabaki na vitambaa, na Mimi mpaka Leo navitumia imekuwa kama kumbukumbu,
  5. B

    Tabia ya kudaiana vitu baada ya kuachana

    Mimi imenitokea tumeachana mdada aliwahi kunipa zawadi ya vitambaa vya kufuma ili nipambe ndani, tumeachana kaanza kunidai, Sasa huyu ni mwanamke na sio mwanaume kama mnavyodai, Mimi naona inategemea na mtu mwenye,
  6. B

    Fuvu miaka 100 lakutwa ofisi za mawakili IMMMA advocates

    MAsha waziri wa mambo ya ndani wa Jakaya, Magai, lshengoma jitu kama hicho,
  7. B

    Fuvu miaka 100 lakutwa ofisi za mawakili IMMMA advocates

    Masha waziri wa mambo ya ndani wa jakaya, mwingine anaitwa magai, KTU kama hicho,
  8. B

    Fuvu miaka 100 lakutwa ofisi za mawakili IMMMA advocates

    Masha waziri wa mambo ya ndani wa zamani, mujulizi, pia, nakumbuka,
  9. B

    Mrejesho: Usiku wa jana wa yule msichana ambaye hakupika chakula

    Utaambukizwa ukimwi wewe Fanya mchezo, demu wa kuja Saa sits za usiku? Huyo demu Yuko huru kiasi gani!!!
  10. B

    Hapa napo Trafic atahitajika kuja kupima kujua nani mwenye makosa?

    GARI la mbele lilirudi nyuma,
Back
Top Bottom