Matokeo yake nilimpa lakini akanigeuzia kibao Mimi sitaki tena vitambaa nataka pesa, nikamuuliza shilling ngapi akadai elfu kumi na tano, nikampa nikabaki na vitambaa, na Mimi mpaka Leo navitumia imekuwa kama kumbukumbu,
Mimi imenitokea tumeachana mdada aliwahi kunipa zawadi ya vitambaa vya kufuma ili nipambe ndani, tumeachana kaanza kunidai,
Sasa huyu ni mwanamke na sio mwanaume kama mnavyodai, Mimi naona inategemea na mtu mwenye,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.