Recent content by BB_DANGOTE

  1. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Habari ya wakati huu Wakuu, Naomba Niongee na Wanaume, Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia.. ‎ ‎1. Feminist ‎ ‎Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha ‎ ‎Wanahisi Mwanaume Sio Kipaumbele Kwenye Maisha yao ‎ ‎Avoid This Kind Of Women Ataharibu maisha yako na...
  2. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    ......
  3. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Siri za Mbinguni hizo huwezi elewa😁
  4. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hahhhh Ehh Lakini haya Maswali mara nyingi wanapewa kabla ya kuulizwa kabla Hata ya tukio
  5. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hoja sio hasikii Sio lugha yake mama Kwa hiyo Kuna Possibility ya kutokusikia Vizuri au Kuelewa Lengo la swali Hata wewe tukikupeleka kwenye interview ambayo moderator ni Mtu wa Taifa Tofauti na Tanzania Mfano mhindi anae Ongea kingereza lazima Kuna Mahali utakwama
  6. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Sahihi Ni Ngumu Sana kuwa na confidence Kubwa kwenye Mazingira Kama hayo ambayo Nguvu ya hayo mataifa ni Kubwa mara mia ya Tanzania Hapo confidence ni cheo tu which is very minor to those countries
  7. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hapa Muhimu Cha kujiuliza Nini warusi wanalenga kukipata Tanzania Maana Hawa Jamaa hawajawai kufanya Kitu bure, Paka wamefika hapo Kuna Malengo ya mbali Tanzania wameona wanaitaji kuyatimiza Tanzania ni Nchi Tajiri tuna gesi tuna uranium tuna Madini adi ya kipekee Je ni Nini target Yao?
  8. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kafanya Vizuri kujibu kiswahili Lakini Kuna namna wakalimani hawaja fanya Vizuri I think wakalimani wali tafsili Tofauti Hilo swali ndio maana Mh amejibu Vile Kwa Sababu " In the public talk every thing is programmed "
  9. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenda safari na kutalii vya ndanii

    Nyangh'olo Hatari Sana hasa hasa Wakati wa Usiku
  10. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kuna sintofahamu kati ya elimu ya Tanzania na Mahitaji ya soko la ajira/kidijitari

    Nini Kifanyike Kutatua hizi changamoto, Maana Hata mambo yanayo Fundishwa chuoni Asilimia Kubwa hayatumiki katika Uhalisia wake katika Kipindi hiki, Na hakuna Kitu kigumu Kwa wakufunzi Kama kuandaa content Mpya za somo furahi Kwa Sababu inaitaji Kusoma Sana vitabu na Kuja na material mapya...
  11. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Hoja Nzuri Lakini zinaitaji utafiti zaidi maana Country Issue is Always big issue Kufeli kwa hoja Yako yoyote ni anguko kubwa Kwa Nchi Kwa Sababu unaongelea Mihimili ya Nchi, Usiongelee Mihimili ya Nchi kizembe hivi kama unaongelea maswala ya familia. Ni Hatari Sana.
  12. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania UDOM Employment Opportunity Announcement 2026

    Thank you for sharing
  13. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Nyama ya Ng'ombe ndio nyama bora duniani, haina mpinzani

    Wewe unajua Sato wa mwanza samaki mfupa Kama kidore, Aki kaangwa Vizuri ng'ombe anazidiwa mbali sanaa
  14. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Tuambie nikwa vipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni au Utegemezi

    Nimependa point zako mbili, 1. Point Namba Saba 2. Point Namba Tisa nzuri Form 5 na 6 inawapunguzia Vijana Muda wa kupambana
  15. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Tuambie nikwa vipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni au Utegemezi

    Tukiwa na Viongozi Wazalendo wengi kwenye Taifa zaidi ya Watu wenye maslai binafsi, Tukifanya hivi Tanzania Itakuwa Moja ya Nchi Tajiri Afrika.
Back
Top Bottom