Habari ya wakati huu Wakuu,
Naomba Niongee na Wanaume,
Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia..
1. Feminist
Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha
Wanahisi Mwanaume Sio Kipaumbele Kwenye Maisha yao
Avoid This Kind Of Women Ataharibu maisha yako na...
Hoja sio hasikii
Sio lugha yake mama Kwa hiyo Kuna Possibility ya kutokusikia Vizuri au Kuelewa Lengo la swali
Hata wewe tukikupeleka kwenye interview ambayo moderator ni Mtu wa Taifa Tofauti na Tanzania Mfano mhindi anae Ongea kingereza lazima Kuna Mahali utakwama
Sahihi
Ni Ngumu Sana kuwa na confidence Kubwa kwenye Mazingira Kama hayo ambayo Nguvu ya hayo mataifa ni Kubwa mara mia ya Tanzania
Hapo confidence ni cheo tu which is very minor to those countries
Hapa Muhimu Cha kujiuliza
Nini warusi wanalenga kukipata Tanzania
Maana Hawa Jamaa hawajawai kufanya Kitu bure, Paka wamefika hapo Kuna Malengo ya mbali Tanzania wameona wanaitaji kuyatimiza
Tanzania ni Nchi Tajiri tuna gesi tuna uranium tuna Madini adi ya kipekee
Je ni Nini target Yao?
Kafanya Vizuri kujibu kiswahili Lakini Kuna namna wakalimani hawaja fanya Vizuri
I think wakalimani wali tafsili Tofauti Hilo swali ndio maana Mh amejibu Vile
Kwa Sababu " In the public talk every thing is programmed "
Nini Kifanyike Kutatua hizi changamoto,
Maana Hata mambo yanayo Fundishwa chuoni Asilimia Kubwa hayatumiki katika Uhalisia wake katika Kipindi hiki,
Na hakuna Kitu kigumu Kwa wakufunzi Kama kuandaa content Mpya za somo furahi Kwa Sababu inaitaji Kusoma Sana vitabu na Kuja na material mapya...
Hoja Nzuri Lakini zinaitaji utafiti zaidi maana Country Issue is Always big issue
Kufeli kwa hoja Yako yoyote ni anguko kubwa Kwa Nchi Kwa Sababu unaongelea Mihimili ya Nchi,
Usiongelee Mihimili ya Nchi kizembe hivi kama unaongelea maswala ya familia.
Ni Hatari Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.