Kweli,
Asili Yetu sisi Africa ni Hunting hayo mengine yote ya Wazungu,
Kwa hiyo Babu Zetu wange weza wafukuza wazungu na mataifa ya kigeni Tungekuwa kama wa hadzabe Tanzania nzima.
Wenda Wazungu wasinge Kuja Ungekuwa Msituni Muda huu Unatafuta Chakula Cha Jioni,
Kwa Sababu Kila Kitu umeletewa Kuanzia Mahindi, mpunga, maharage, Ndizi, matunda ya kupandwa yote, Nguo Kila Kitu🤔
Pambana Kijana Fanya Mazoezi Acha Kukaa Ndani,
Tafuta Kazi ya Kufanya Hatakama ni Kurusha Movie au yoyote Ile
Iyo Hali inapita yata fata Majuto au Kujipongeza Kwa Maamuzi Utayo yafanya.
Haya Itakuwa Mazingaombwe (kiini Macho)
Maana pia shule za Msingi nakumbuka kulikuwa na Watu wanakuja wanabadili Mawe kuwa Chips😂
Kiu halisia ni Ngumu Sana kuamini hii ishu
Mindset za Baadhi ya Wanaume zinatakiwa kubadilishwa,
Waache kutia Huruma Kwa wanawake (niceboy) Waanze Kuonesha Value Kwa Wanawake.
Hapo ndio watapata Maisha yenye furaha na Amani.
Ndio ndio Mkubwa
Wamehasi Njia ya Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi ndio Uchawi Ulipo anzia,
Mtumaini Mungu Alie Ziumba Mbingu na . Nchi Mkuu achana na Hivyo Vitu vingine.
Kuhasi na Uwezo Kuna uhusiano Gani
Hata ukiwa na Uwezo kiasi Gani Bado unaweza Kusalitiwa bila changamoto yoyote
Ndicho kilichotokea
Naku Hakikishia Siku inakuja Wewe ulie Muacha Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi na Kufata miungu Utajuta na hautakua na msaada popote na wowote na Ukifa...
Wanaume Tunatakiwa kubadilisha Mtazamo na Kumuomba Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi (Mungu Mwenyezi)
Kwenda Kwa waganga ni kujaribu kusuluhisha Tatizo Kwa kuongeza Tatizo jingine
Mwamini Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi Fanya Kazi Kwa Bidii Usikubali Kuendeshwa na Mwanamke Kama anavyotaka...
Kichina kinakusaidia Kulingana na Ujuzi wako,
Kwa Mfano
Wewe Kama ni Mwalimu kichina Kina kupa fursa ya kufundisha kiswahili sehemu ambazo hawajui kichina na kufundisha kichina sehemu ambazo hawajui kichina
Pia Utakuwa na uwezo wa kushiriki fursa nyingi zinazo Husisha wachina
Mfano apa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.