Nini Kifanyike Kutatua hizi changamoto,
Maana Hata mambo yanayo Fundishwa chuoni Asilimia Kubwa hayatumiki katika Uhalisia wake katika Kipindi hiki,
Na hakuna Kitu kigumu Kwa wakufunzi Kama kuandaa content Mpya za somo furahi Kwa Sababu inaitaji Kusoma Sana vitabu na Kuja na material mapya...
Hoja Nzuri Lakini zinaitaji utafiti zaidi maana Country Issue is Always big issue
Kufeli kwa hoja Yako yoyote ni anguko kubwa Kwa Nchi Kwa Sababu unaongelea Mihimili ya Nchi,
Usiongelee Mihimili ya Nchi kizembe hivi kama unaongelea maswala ya familia.
Ni Hatari Sana.
Kweli,
Asili Yetu sisi Africa ni Hunting hayo mengine yote ya Wazungu,
Kwa hiyo Babu Zetu wange weza wafukuza wazungu na mataifa ya kigeni Tungekuwa kama wa hadzabe Tanzania nzima.
Wenda Wazungu wasinge Kuja Ungekuwa Msituni Muda huu Unatafuta Chakula Cha Jioni,
Kwa Sababu Kila Kitu umeletewa Kuanzia Mahindi, mpunga, maharage, Ndizi, matunda ya kupandwa yote, Nguo Kila Kitu🤔
Pambana Kijana Fanya Mazoezi Acha Kukaa Ndani,
Tafuta Kazi ya Kufanya Hatakama ni Kurusha Movie au yoyote Ile
Iyo Hali inapita yata fata Majuto au Kujipongeza Kwa Maamuzi Utayo yafanya.
Haya Itakuwa Mazingaombwe (kiini Macho)
Maana pia shule za Msingi nakumbuka kulikuwa na Watu wanakuja wanabadili Mawe kuwa Chips😂
Kiu halisia ni Ngumu Sana kuamini hii ishu
Mindset za Baadhi ya Wanaume zinatakiwa kubadilishwa,
Waache kutia Huruma Kwa wanawake (niceboy) Waanze Kuonesha Value Kwa Wanawake.
Hapo ndio watapata Maisha yenye furaha na Amani.
Ndio ndio Mkubwa
Wamehasi Njia ya Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi ndio Uchawi Ulipo anzia,
Mtumaini Mungu Alie Ziumba Mbingu na . Nchi Mkuu achana na Hivyo Vitu vingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.