Recent content by BB_DANGOTE

  1. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenda safari na kutalii vya ndanii

    Nyangh'olo Hatari Sana hasa hasa Wakati wa Usiku
  2. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kuna sintofahamu kati ya elimu ya Tanzania na Mahitaji ya soko la ajira/kidijitari

    Nini Kifanyike Kutatua hizi changamoto, Maana Hata mambo yanayo Fundishwa chuoni Asilimia Kubwa hayatumiki katika Uhalisia wake katika Kipindi hiki, Na hakuna Kitu kigumu Kwa wakufunzi Kama kuandaa content Mpya za somo furahi Kwa Sababu inaitaji Kusoma Sana vitabu na Kuja na material mapya...
  3. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Hoja Nzuri Lakini zinaitaji utafiti zaidi maana Country Issue is Always big issue Kufeli kwa hoja Yako yoyote ni anguko kubwa Kwa Nchi Kwa Sababu unaongelea Mihimili ya Nchi, Usiongelee Mihimili ya Nchi kizembe hivi kama unaongelea maswala ya familia. Ni Hatari Sana.
  4. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania UDOM Employment Opportunity Announcement 2026

    Thank you for sharing
  5. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Nyama ya Ng'ombe ndio nyama bora duniani, haina mpinzani

    Wewe unajua Sato wa mwanza samaki mfupa Kama kidore, Aki kaangwa Vizuri ng'ombe anazidiwa mbali sanaa
  6. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Tuambie nikwa vipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni au Utegemezi

    Nimependa point zako mbili, 1. Point Namba Saba 2. Point Namba Tisa nzuri Form 5 na 6 inawapunguzia Vijana Muda wa kupambana
  7. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Tuambie nikwa vipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni au Utegemezi

    Tukiwa na Viongozi Wazalendo wengi kwenye Taifa zaidi ya Watu wenye maslai binafsi, Tukifanya hivi Tanzania Itakuwa Moja ya Nchi Tajiri Afrika.
  8. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Kweli, Asili Yetu sisi Africa ni Hunting hayo mengine yote ya Wazungu, Kwa hiyo Babu Zetu wange weza wafukuza wazungu na mataifa ya kigeni Tungekuwa kama wa hadzabe Tanzania nzima.
  9. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Wenda Wazungu wasinge Kuja Ungekuwa Msituni Muda huu Unatafuta Chakula Cha Jioni, Kwa Sababu Kila Kitu umeletewa Kuanzia Mahindi, mpunga, maharage, Ndizi, matunda ya kupandwa yote, Nguo Kila Kitu🤔
  10. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Pambana Kijana Fanya Mazoezi Acha Kukaa Ndani, Tafuta Kazi ya Kufanya Hatakama ni Kurusha Movie au yoyote Ile Iyo Hali inapita yata fata Majuto au Kujipongeza Kwa Maamuzi Utayo yafanya.
  11. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Sababu nzuri Lakini ni za kiushindani sio real serious facts
  12. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hizo Range Rover unazopishana nazo Vitasa vyake vimeingia kwa ndani, used tu Bila Mil 400 hujamiliki!

    Gari Kama hii Iki haribika Unaitengenizea Wapi Bora IST😂
  13. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Naskia Songwe wadau wanapoteza sehemu za Siri kwa kuguswa bega. Wadau wa Songwe Kuna ukweli gani?

    Haya Itakuwa Mazingaombwe (kiini Macho) Maana pia shule za Msingi nakumbuka kulikuwa na Watu wanakuja wanabadili Mawe kuwa Chips😂 Kiu halisia ni Ngumu Sana kuamini hii ishu
  14. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kijana wangu nakusihi sana, jivunie uanaume wako na simama kama mwanaume

    Mindset za Baadhi ya Wanaume zinatakiwa kubadilishwa, Waache kutia Huruma Kwa wanawake (niceboy) Waanze Kuonesha Value Kwa Wanawake. Hapo ndio watapata Maisha yenye furaha na Amani.
  15. BB_DANGOTE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Ndio ndio Mkubwa Wamehasi Njia ya Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi ndio Uchawi Ulipo anzia, Mtumaini Mungu Alie Ziumba Mbingu na . Nchi Mkuu achana na Hivyo Vitu vingine.
Back
Top Bottom