Recent content by BB_DANGOTE

  1. BB_DANGOTE

    Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Kweli, Asili Yetu sisi Africa ni Hunting hayo mengine yote ya Wazungu, Kwa hiyo Babu Zetu wange weza wafukuza wazungu na mataifa ya kigeni Tungekuwa kama wa hadzabe Tanzania nzima.
  2. BB_DANGOTE

    Hivi kati ya Yesu na ancestors wetu ni nani aliteseka zaidi kwa ajili yetu?

    Wenda Wazungu wasinge Kuja Ungekuwa Msituni Muda huu Unatafuta Chakula Cha Jioni, Kwa Sababu Kila Kitu umeletewa Kuanzia Mahindi, mpunga, maharage, Ndizi, matunda ya kupandwa yote, Nguo Kila Kitu🤔
  3. BB_DANGOTE

    Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Pambana Kijana Fanya Mazoezi Acha Kukaa Ndani, Tafuta Kazi ya Kufanya Hatakama ni Kurusha Movie au yoyote Ile Iyo Hali inapita yata fata Majuto au Kujipongeza Kwa Maamuzi Utayo yafanya.
  4. BB_DANGOTE

    Naskia Songwe wadau wanapoteza sehemu za Siri kwa kuguswa bega. Wadau wa Songwe Kuna ukweli gani?

    Haya Itakuwa Mazingaombwe (kiini Macho) Maana pia shule za Msingi nakumbuka kulikuwa na Watu wanakuja wanabadili Mawe kuwa Chips😂 Kiu halisia ni Ngumu Sana kuamini hii ishu
  5. BB_DANGOTE

    Kijana wangu nakusihi sana, jivunie uanaume wako na simama kama mwanaume

    Mindset za Baadhi ya Wanaume zinatakiwa kubadilishwa, Waache kutia Huruma Kwa wanawake (niceboy) Waanze Kuonesha Value Kwa Wanawake. Hapo ndio watapata Maisha yenye furaha na Amani.
  6. BB_DANGOTE

    Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Ndio ndio Mkubwa Wamehasi Njia ya Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi ndio Uchawi Ulipo anzia, Mtumaini Mungu Alie Ziumba Mbingu na . Nchi Mkuu achana na Hivyo Vitu vingine.
  7. BB_DANGOTE

    Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Kuhasi na Uwezo Kuna uhusiano Gani Hata ukiwa na Uwezo kiasi Gani Bado unaweza Kusalitiwa bila changamoto yoyote Ndicho kilichotokea Naku Hakikishia Siku inakuja Wewe ulie Muacha Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi na Kufata miungu Utajuta na hautakua na msaada popote na wowote na Ukifa...
  8. BB_DANGOTE

    Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Wame Hasi Njia ya Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi.
  9. BB_DANGOTE

    Ukipata mdada mwenye hivi vinyweleo muoe usichezee bahati ni watamu sana hao

    Wanaume Tunatakiwa kubadilisha Mtazamo na Kumuomba Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi (Mungu Mwenyezi) Kwenda Kwa waganga ni kujaribu kusuluhisha Tatizo Kwa kuongeza Tatizo jingine Mwamini Mungu Alie Ziumba Mbingu na Nchi Fanya Kazi Kwa Bidii Usikubali Kuendeshwa na Mwanamke Kama anavyotaka...
  10. BB_DANGOTE

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Good Thank you for sharing
  11. BB_DANGOTE

    Starehe za bure, hatari sana!

    Sahihi kabisa
  12. BB_DANGOTE

    Je kuna faida kujifunza Kichina?

    Kichina kinakusaidia Kulingana na Ujuzi wako, Kwa Mfano Wewe Kama ni Mwalimu kichina Kina kupa fursa ya kufundisha kiswahili sehemu ambazo hawajui kichina na kufundisha kichina sehemu ambazo hawajui kichina Pia Utakuwa na uwezo wa kushiriki fursa nyingi zinazo Husisha wachina Mfano apa...
Back
Top Bottom