Recent content by BB_DANGOTE

  1. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Wanao sema hivi waga wanajuta Vibaya.
  2. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Sababu ya hayo Maamuzi unaweza ukawa wewe mke. Wanaume wanao cheat sio kwamba wanapenda ila ni Mazingira yamewafanya waweivyo(Mazingira ndio nyie wake)
  3. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Akili ipo kwenye Kutafuta suluhu Lakini Jaribu kufanya Kitu kimoja maengineer tunaita PM (Preventative Mantainance) unasafisha Kila dalili inayo weza kusababisha Tatizo likatokea.
  4. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Tulia fatilia taratibu utakuja kugundua Kila Kitu kina Sababu, Usipo kubadi utaendelea ivyo ivyo Kwa Kila Mwanaume Wengine utahisi tu wanakucheat utakosa Amani nao utawaacha mwisho wa siku utazeeka alafu UTAJUTA, Ndio maana nimekwambia mwanamke unatakiwa kuwa na Akili maana unaweza mtengeneze...
  5. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Mwanamke una nafasi Kubwa ya kumuweka Mwanaume Jinsi unavyo taka, Lakini Kwa unyenyekevu na utii wa Hali ya juu(sio Kwa kujifanya unajua sana maishs) Yani unacho takiwa kujua ukiona Mwanaume anatoka nje ya familia yake na anakuwa na Amani Kabisa ujue Kwa mwanamke wake Kuna Kitu hakipo sawa...
  6. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Apo ndio Unakuwa na Maamuzi ya aina Mbili na unatakiwa kuchagua Moja Kuvunja Ndoa Yako au Kukubali Kuelewana na Mmewako, NB: Mwanamke mpumbavu atakimbilia Kuvunja Ndoa.
  7. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Usimfatilie Mwanaume Wala Kumu hoji hoji Maswali, Onesha upendo utii wa kweli na Onesha kuwa na Amani Wakati Wote, jishushe Wakati Wote (sio kinafiki) na ujishuhulishe na Kazi zingine Ndogo Ndogo NB. Usi Cheat
  8. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Tukisema mipaka hatu maanishi kwamba Mtoto Hana Nafasi, Ni Kama Sheria za Nchi tu Kuna Vitu hutakiwi kufanya Pamoja na kuwa Vipo ndani ya Uwezo wako na Maisha yanaenda Tunacho kataa ni mazoea Kama Mtu na Mpenzi wake na Sio Kama Mtu na Baba yake ( Kwa Watoto wakike Walio balehe ) Wewe una...
  9. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Hapana Nataka nikudhiilishie na kukufundisha kuwa mipaka kwa Mtoto hasa wa kike ni Lazima.
  10. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Kwa hiyo wewe Mtoto wako wa kike unaweza kumshika matiti ?
  11. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Kuna namna Mahusiano hayatakiwi kutia shaka Kwa Jamii inayo kuzunguka, Ndio maana Mtoto ni wako Lakini akiwa na miaka flani unatakiwa umhamishe kutoka kitandani Kwako na mke wako umpeleke chumba Cha Watoto na Kuna Muda utafika hauta takiwa kulala nae kwenye kitanda kimoja Kwa Sababu yeyote...
  12. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Hata km ni masharti ya Mganga msifanye hivi

    Ili somo liongezwe shuleni wafundishwe Wadada tu Aisee
  13. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Meya wa Dar Awaita Wananchi Kutoa Ushahidi Wa Ghasia Za Oktoba 29

    Unaenda zako Vizuri kutoa ushirikiano unashangaa wanakuchukua Kama shaidi wa Mfano
  14. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Meya wa Dar Awaita Wananchi Kutoa Ushahidi Wa Ghasia Za Oktoba 29

    Mbona Kama mtego😆😆
  15. BB_DANGOTE

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Ni Maamuzi poor yanayo mjengea Tabia na kumfanya kuwa na poor mind, Kama ajishuhulishi na chochote (Mvivu) na anatamani maisha Mazuri, Huyo hawezi akawa msaada popote pale Hata akiolewa Bado ata rudisha familia yake nyuma kwa Sababu ya Tabia na mtazamo wake wa Maisha, Hili ni wimbi la...
Back
Top Bottom