Recent content by Bazenga01

  1. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Mpango wenyu kumtoa Mafwere kafara na wenzake wanne hatuukubali

    Inaweza kuwa amepata dogo dogo, ka genZ flani hivi kwahyo muhimu kuweka muscles afresh
  2. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    1. Mtoa mada anazungumzia sehemu za public ambazo hazina gharama kubwa kwa mwananchi wa kawaida. 2. Ingekuwa vizuri ukaitaja hiyo sehemu matata uliyokuwepo kwa watu wenye hela zao nao watembelee
  3. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Taja sehemu tatu tu
  4. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    Mental health is real. Jitahidi uwahi kwa psychiatrist
  5. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Zimwi la Oktoba 29, limegoma kuzimika

    Naaam, siku yaja na wala haiko mbali.
  6. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Nyie watu mnakera sana. Mna kiburi na dharau ya hali ya juu. Ila muda utaongea. Tik tok..Tik tok
  7. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Bado kitambo kifupi uikimbie hii ID yako. "We gonna use all tools at our disposal"
  8. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Ahmed Shabiby: Mapapa makubwa yamehodhi tenda za kuleta dawa nchini, nyingi ni feki na zina Milligram chache

    Usinyamaze mkuu, furumua/vujisha(leak) uyajuayo, utakuwa umetoa mchango wako mkubwa kwa waTanganyika.
  9. Bazenga01

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tafsiri mbaya na namna baadhi ya wanaume wanavyomshusha mwanamke

    Kwahyo mbususu siku hizi imebatizwa jina jipya la jagina? Halafu kuna member humu kwa jina hilo
  10. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    + Sheikh Ponda na UDASA, walitoa na bado wanatoa ushauri mujarab kwa mustakabali wa Taifa letu.
  11. Bazenga01

    JamiiForums Tanzania Taifa la Fremu, Boda na Bajaji , Je, Hii ndiyo Ndoto ya Kijana wa Kitanzania?

    Umeandika mstari mmoja ambao umefupisha karibu yoote wadau waliochangia. Wadau wametoa michango yenye tija mno. Bila mapinduzi ya kweli tutaendelea kuwa vikaragosi mbele ya walioridhika (watawala, nina sita kuwaita wanasiasa).
Back
Top Bottom