1. Mtoa mada anazungumzia sehemu za public ambazo hazina gharama kubwa kwa mwananchi wa kawaida.
2. Ingekuwa vizuri ukaitaja hiyo sehemu matata uliyokuwepo kwa watu wenye hela zao nao watembelee
Umeandika mstari mmoja ambao umefupisha karibu yoote wadau waliochangia. Wadau wametoa michango yenye tija mno. Bila mapinduzi ya kweli tutaendelea kuwa vikaragosi mbele ya walioridhika (watawala, nina sita kuwaita wanasiasa).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.