Dah.. this is too much, mtu yuko hai kabisa then umwambie mtoto babake kashafariki. Usifanye hivyo, kwa maana siku mtoto akikua na kuja kumfahamu yu hai, hiyo chuki ya mtoto itakugeuka aisee lakini pia utamharibu kisakolojia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.