mwambie apunguze ahadi atakuja juta?kasema elimu bure mpk iv ila pinda kasema kuchangia elim halikwepeki.?kasema viwannda kigwangala kasema ccm hana mpngo wa kujenga wala kfufua zaid kuboresha uwekezaji je yy ilan ipi anatumia?
alipokuwa mnamwita achangie je alikuwa na udhu?ama leo ndo umeona?msipandikize chuki kwa kuwa haupo nae wngine hatuna din na ww pia ni muumin tu huijui dini
hakuna haja ya kujadili afya ya mtu jadili je ww mzma?leta vya maaana tumechoshwa na hoja lwasa jaman tuambien kwa nn watoto wanakaa chin? kwa nn watu wanatibiwa chin ya mt?
ebu acheni lowasa lowasa hamna jingine?ongeeni sera ndan ya ccm walituhumiwa wengi km ni wakwel tuleteeni na wengiine kwa nn mmoja tuu mmmmmmmmmmmh jaman kuwen fair km ndo mnajiita wazalendo kweli ama uzalendo mpk uende jkt?
Niwaulize mliozaliwa na kupata kazi kabla 1992je uliweza pata kazibila kipande cha vijana nyie wa digtal usijibu msaana najua hamjui maaana hata hamjui hstor ys nchi yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.