vipi wabunge wa CDM Wakisema ukweli, watu wengine mnakasirika, ukweli unauma, hivi utajuaje kama unakosea? ukishirikia na vyama vya freemasons tutasema tu. hongera wenje na chama cha ukombozi
Hivi nyie wadanganyika hamjawaelewa hawa CCM Wanavyoshabikia ufisadi bila kujua madhara yake, kwa kulindana na kuwa na mawazo ya kupata ukubwa kwenye serikali yao, nyie subirini huo mwongozo wa mbatia kama wataukubali, Ila kama angekuwa ni mbunge wao wangeukubali, wamekaa kupokea posho tu, bila...
kwanza chukua statement angalia zimewekwa lini, kama ni muda mrefu ujue huna shida chukua kidogo kwanza uangalie kama benki watagundua wrong posting au la. we kwanza zimekaa muda gani kwenye account yako?
Sasa haya matokeo ni ya mtihani wa taifa wa f4 2012 au ni matokeo ya mtihani wa Kawambwa f4 2013? hivi kwa akili ya watanzania wenye akili hii si kiini macho cha CCM na serikali yake? waSOMI NISAIDIENI HAPA....
Watu wengine wana ugonjwa wa akili, chadema inawapa shida maishani, ukizoea kupata dezo kimaisha kutokana na ndugu zenu walikuzwa na wizi wa ccm lazima uchanganyikiwe, ondoeni upuuuzi wetu kwa kudhani bado tupo wakati wa chama kimoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.