Recent content by BAYEKA R

  1. B

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    vipi wabunge wa CDM Wakisema ukweli, watu wengine mnakasirika, ukweli unauma, hivi utajuaje kama unakosea? ukishirikia na vyama vya freemasons tutasema tu. hongera wenje na chama cha ukombozi
  2. B

    Deo Filikunjombe ametuonyesha wana-Mtwara kuwa tunatakiwa kusimamia tunachokiamini.

    hivi hawa wabunge wa ccm mbona hawasomeki, nini kujjita wapambanaji?
  3. B

    Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

    Ama kweli duniani kuna mambo!! vipi umeona hizo ni sifa
  4. B

    Hofu ya uwepo wa Budget Mbili yatanda tena Bungeni

    Hivi nyie wadanganyika hamjawaelewa hawa CCM Wanavyoshabikia ufisadi bila kujua madhara yake, kwa kulindana na kuwa na mawazo ya kupata ukubwa kwenye serikali yao, nyie subirini huo mwongozo wa mbatia kama wataukubali, Ila kama angekuwa ni mbunge wao wangeukubali, wamekaa kupokea posho tu, bila...
  5. B

    Nimekuta mahela kwenye account yangu ya banki,Nifanyeje jamani?

    kwanza chukua statement angalia zimewekwa lini, kama ni muda mrefu ujue huna shida chukua kidogo kwanza uangalie kama benki watagundua wrong posting au la. we kwanza zimekaa muda gani kwenye account yako?
  6. B

    Kidato cha 4 mambo safi, matokeo mapya hadharani..................... ................

    Sasa haya matokeo ni ya mtihani wa taifa wa f4 2012 au ni matokeo ya mtihani wa Kawambwa f4 2013? hivi kwa akili ya watanzania wenye akili hii si kiini macho cha CCM na serikali yake? waSOMI NISAIDIENI HAPA....
  7. B

    Nasema sitashangaa kusikia CHADEMA na CUF kuhusika na fujo za Mtwara.

    Watu wengine wana ugonjwa wa akili, chadema inawapa shida maishani, ukizoea kupata dezo kimaisha kutokana na ndugu zenu walikuzwa na wizi wa ccm lazima uchanganyikiwe, ondoeni upuuuzi wetu kwa kudhani bado tupo wakati wa chama kimoja.
  8. B

    Diamond trust bank

    Kwani walisema utaitwa
Back
Top Bottom