Huu ni ubakwaji wa democrasia tz hivi nyinyi maccm mna akili kweli hiv mawazo yenu ni msaafu huwez kubadilisha? Nyokonyoko nyinyi cyo kila kitu mtu aseme.ndio mmekiuka uhuru wa kutoa maoni..
Usilete ushabik kwa mfumo uliopo wa serikali mbili hayo mambo hayawez kutekelezeka labda arudi masia" kwa utitiri wa wabunge 360 na makamu wa raisi watatu kwa budget ipi watz ebu zindukeni kutoka ucngizini hizi sanaa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.