Recent content by Battery low

  1. B

    Kwanini moshi huelekea angani bila kurudi ardhini?

    Hii kitu haiwezi kujibiwa kwa concept ya gravity kwa sababu gravity ina athari ndogo sana katika vitu ambavyo ni approximately weightless,ila linaweza jibiwa kwa concept ya density kwa sababu density ina effect kubwa katika vitu kama hv especially gases.Kitu ambacho kipo less dense huwa kinakaa...
  2. B

    Wale tuliosoma advanced physics

    Mimi kitu cha fluid mechanics, magnetism ilikua mtelezo sana asee
  3. B

    SIMU HAIDOWNLOAD APPS KUTOKA PLAYSTORE.

    Mkuu fuata procedure hizi -ingia kwenye settings then nenda kwenye "manage apps" -Itafute play store hapo kwenye manage apps -Ibofye hiyo play store halafu utaona sehemu imeandikwa "uninstall updates" -Bofya hapo utaiuinstall then ingia kwenye browser,may be chrome/uc browser -Then utaandika...
  4. B

    Pakua hapa alternative nzuri ya MOBDRO app

    Live streaming,unaweza kustream channel mbalimbali mfano unaweza kuangalia live football games
  5. B

    Pakua hapa alternative nzuri ya MOBDRO app

    Au unaweza kubofya hapo itajidownload direct kwenye browser
  6. B

    Pakua hapa alternative nzuri ya MOBDRO app

    Mkuu naona hiyo link imezingua sa hivi aisee,but ipakue hapa kupitia dropbox na ikishakudirect utaclick hapo nilipozungushia duara then itaanza kujidownload Dropbox - UkTVNow_7.0.apk
  7. B

    Pakua hapa alternative nzuri ya MOBDRO app

    Inaitwa uktvnow ipakue hapa kupitia dropbox Dropbox - UkTVNow_7.0.apk Ila kustream kwake ni vyema ukatumia external player,mx player ndio ipo bomba zaidi
  8. B

    Ipi niweke as first priority kati ya hizi?

    Angalia pale ardhi university,chagua environmental eng/municipal#industrial Service eng/environmental science/landscape architecture,yani zipo nyingi tu pale
  9. B

    Msaada tecno W4 nikiwasha data inakua slow sana

    Hayo matecno ni mimba kusema kweli,simu mpaka upate ile toleo la kwanza ndio inakua nzuri
  10. B

    Msaada tecno W4 nikiwasha data inakua slow sana

    Ya kwako rabda itakua ni toleo la kwanza
  11. B

    jinsi ya kufactory reset tecno p5

    Sim yangu inaishia kwenye maandshi ya tecno katika kuwaka then nimejaribu kurestor kwa kutumia power botton na volume down lakin yanakuja maneno y kichna(siyaelew) kwa anae elewa anijuze tafadhali,natanguliza shukran
Back
Top Bottom